Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 127,903
- 244,474
Hii ni taarifa ya Ewura iliyonakiliwa kwenye gazeti la Mwananchi .
Kwamba vituo vya AHMED SHABIBY PETROL STATION cha Makole Dodoma na BUNDA FILLING STATION cha Bunda Mjini kinachomilikiwa Vedasto Mathayo vimebainika kuchakachua mafuta .
Ikumbukwe kwamba hawa ni wabunge wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama kilekile cha siku nyingi CCM , hata kama ni wachangiaji wazuri wa chama lakini taarifa hii ya EWURA haiwezi kupita bila kujadiliwa .
Ni kwanini hawajajiuzulu mpaka muda huu , ni athari kiasi gani wamelisababishia taifa hili katika kipindi chote walichofanya huu uchakachuaji wao ?
kama hali ndio hii kuna kazi kubwa sana mbele ya safari.
Kwamba vituo vya AHMED SHABIBY PETROL STATION cha Makole Dodoma na BUNDA FILLING STATION cha Bunda Mjini kinachomilikiwa Vedasto Mathayo vimebainika kuchakachua mafuta .
Ikumbukwe kwamba hawa ni wabunge wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama kilekile cha siku nyingi CCM , hata kama ni wachangiaji wazuri wa chama lakini taarifa hii ya EWURA haiwezi kupita bila kujadiliwa .
Ni kwanini hawajajiuzulu mpaka muda huu , ni athari kiasi gani wamelisababishia taifa hili katika kipindi chote walichofanya huu uchakachuaji wao ?
kama hali ndio hii kuna kazi kubwa sana mbele ya safari.