Mungu wetu tunakuomba utupe raisi unayoona anatustahili na syo raisi tunaye mtaka sisi bali awe chaguo lako ambaye atadumisha Aman katka nchi yetu ya Tanzania.AMEN
Ndugu yangu nakusgauri kuwa kama mtu kakupigia magoti na kukuomba msamaha halafu bado ukamwambia mumeo utakuwa umemuhukumu na neno la Mungu linasema usimuhukumu mwenzako nawewe hutohukumiwa kupiga magoti niishara ya unyenyekevu na hali ya kujishusha chini na mpaka anakupigia magoti n kweli...
Kama mnajua kuwa mtu akifa anakuja kuzaliwa upya mbona msijue siku zenu za kufa?kuna mambo mengine mtu hutakiwi kudadisi wala kijua maana hayana msaada yoyote katka maisha tunayoishi dunian
Usisumbuke hakuna anayejua tafsiri yake ila Mungu mweza wa yote na usitake kujua tafsiri yake maana itakupa kuweweseka cha msingi vunja kabsaa kwa jina la Yesu hyo ndoto na haitarudiiiii tenaaaaaaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.