Padri Anatoly Salawa afumaniwa akifanya ngono ndani ya gari

Status
Not open for further replies.
Huu sasa ni udaku bila chenji..!!

Hao Ma-shigongo walikuwa wakitaka kumgeuza Padre Atm yao, Kwasababu wamemkuta anajilia vyake wakataka kugeuza mradi ili wapate pesa. Haya sasa Padre kagoma wametundika picha mzee wa watu akigegeda. Hivi hata hao waliokuwa wakipiga picha walikuwa na ujasiri kiasi gani? Unaweza kuta hata wao waligegeda gari au miti iliyotapakaa hapa kwa kuzidiwa na Genye..!! Aaah huo ujasiri mkubwa sana tena wanastahili tuzo.

Halafu kunawatu wanashadidia ati kwa tukio kama hilo, Mapadre waruhusiwe kuoa.!!! Inashangaza, Hivi aliyewaambia kuoa ndio mwisho wa tamaa ya kugegeda ni nani? Kuna Askofu mmoja wa Kirutheli amezaa watoto wawili nje ya ndoa (thread iko hapa) Na hao watoto ni.wale tunaowafahamu, hatujui ambao hawafahamiki.! Huyo anandoa yake safi na watoto kumwaga tu ndani ya ndoa. Tusemeje kwa huyo? Aruhusiwe kuoa mke mwingine siyo?

Kuna Mashehe tunasikia kila siku hapa ndani, licha ya kuwa na ndoa za mpaka wake wanne+ lakini bado wanashindwa kuhimili tamaa zao na kuishia kupakua vitoto vidogo huko Madrasa. Tusemeje kwa hao? Au waruhusiwe kuoa mpaka vitoto vidogo kama hivyo?

Timu kama inaruhusu sana magori na kushindwa kufunga, Wewe kama kocha angalia mbinu zako za kufundushia, Ikishindikana kuboresha badiri hata wachezaji nayo ni moja ya mbinu. Siyo kupunguza au Kupanua magori ukidhani kwa kufanya hivyo unajilinda au utafunga zaidi...!!!!!

Mandoroboooo

BACK TANGANYIKA
 
Ingekuwa sheikh server ingejaa. Ila ni Padri basi wanafiki wanajaribu ku justify uzinzi. Biblia si imeandika wazinifu hawataona ufalme wa Mungu?Au Padri ambaye ndio kiongozi ambaye watu wanakwenda kutubu kwake anaruhusiwa kuzini kwa sababu tu ni Padri? Unafiki kweli ni ugonjwa mbaya sana.

Umesema kweli mkuu,wanajitahidi kweli kutetea,lakini ukweli ni kwamba viongozi Wa Catholic wamezidi kwa uzinzi na kulawiti,wakiambiwa oeni tena ikibidi zaidi ya mmoja,wanajifanya kupinga.
 
Habari Wadau wa JF,

Katibu Mtendaji wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (Tanzania Episcopal Conference, TEC), Padri Anatoly Salawa amefumaniwa akifanya ngono ndani ya gari yake yenye namba T 674 ADA, na dada mmoja ambaye inadaiwa nae ni mfanyakazi wa baraza la maaskofu.!

View attachment 252053

View attachment 252054

MY TAKE.!
Nadhani Kanisa Katoliki lijitafakari upya na ifike mahali Mapadri waruhusiwe kuoa. Hakuna sababu ya kuendelea kumdanyanya Mungu kiasi hiki. Shame.!!

View attachment 252055

Ujitafakari mwenyewe kwa malengo yako kushindikana
 
Kashfa ya kanisa au kashfa ya padre?

Kanisa katoliki ni zaidi ya Kadinali, sembuse padre??

Padre kuzini ni sawa na mwanaume aliye kwenye ndoa takatifu kuzini. Wote wanakuwa wametika nje ya kiapo chao. Padre ni binadamu kama sisi.

Ni hayo tu kw a leo.
Hili nalo neno ndg
 
Umesema kweli mkuu,wanajitahidi kweli kutetea,lakini ukweli ni kwamba viongozi Wa Catholic wamezidi kwa uzinzi na kulawiti,wakiambiwa oeni tena ikibidi zaidi ya mmoja,wanajifanya kupinga.

Hiyo ni tabia ya mtu., dini ni wito ila siku hizi imegeuzwa mtaji.uzinifu uko kote kuoa si kigezo.wapo wenye wanne na wana zini na kulawiti kama mbwa.! Kiufupi ni maharibiko shetani kapata kiki ., anavuruga kote kote...! Muumini wa kawaida ana haijambo kuliko kiongozi.!
 
Hiyo ni tabia ya mtu., dini ni wito ila siku hizi imegeuzwa mtaji.uzinifu uko kote kuoa si kigezo.wapo wenye wanne na wana zini na kulawiti kama mbwa.! Kiufupi ni maharibiko shetani kapata kiki ., anavuruga kote kote...! Muumini wa kawaida ana haijambo kuliko kiongozi.!

Unachosema ni kweli,lakini lazima tukubaliane kwamba ndoa ina umuhimu wake kwa Mwenye kujua na kuthamini maana yake.Ndoa inamstiri mtu Mwenye maadili hasa ya dini.
 
Kaazi kweli kweli, sasa hapa akienda kanisani jumapili ataanza kuongomba na kusema Shetani tu, wakati huyu jamaa inaonekana hii ni kawaida yake. Kitu ambacho mi nashindwa kuwaelewa hawa viongozi wa dini kwanini ni waongo sana, yaani wengi wao wanaongoza ibada lakini ndio wanaongoza kwa uzinzi na uesharati, vile vile viongozi wengi wa dini wanaongoza kwa uchawi na kumfuata shetani. Jamani waumini wenzangu sasa imefika kipindi kuwaangalia kwa jicho la tatu hawa viongozi. Juzi kati hapa kuna wengine waliiba fedha za Eskrow na kulitia umasikini taifa. Hawa viongozi wengi huwa wanatumia nyumba za ibada kama sehemu tu za kuficha maovu yao.
Sioni sababu ya kuwatetea kabisa hawa watu, tena mapadri wengi ndio wanaongoza kwa umalaya, tunao huku mtaani na tunawajua.
 
Hivi kufumaniwa si aidha mke au mume kumkuta mmoja kati yao akivunja amri ya sita, je aliyefumania hapo ni mume wa huyo mwanamke? Au wamekutwa tu na wapita njia?
 
11295848_659906414143463_5713943072390886982_n.jpg
Hapo kuna shida arejeshe upadri kwa mwenye mamlaka, aende akaoe haraka fuska mkubwa huyo, au na hapo uchunguzi na tume inahitajika???
 
binafsi sijapenda kitendo cha kuweka picha za padri anatoly salawa hapa mtandaono na kumdhalilisha hata kama amekosea. hata kama amekosea heshima na utu wake lazima upewe heshima. watu walioshika nafasi za kumwakilisha mungu tusiwabughudhi hata kidogo maana ni jwa hasara yetu. tuwasahihishe kwa hekima na tusiwaingize kwenye mitego ya kuanguka katika makosa hasa ya ufuska
 
Unachosema ni kweli,lakini lazima tukubaliane kwamba ndoa ina umuhimu wake kwa Mwenye kujua na kuthamini maana yake.Ndoa inamstiri mtu Mwenye maadili hasa ya dini.

Mkuu kwa hilo haitaki tochi ., uko sawa hasa kwa huu ulimwengu wa sasa.lakini kwani kwenye biblia kuna kifungu kinakataza kuoa.?! Au ni mapokeo tu ya .'warumi.'?!
Wanamuiga nabii Issa. (Yesu.) Kuishi bila kuoa.?! Kashfa hazitokwisha.?!
 
kuna mwingine alikamatwa moshi korongoni kwi kwi kwi kwi kwi huko korongoni ni kata moja wapo ya moshi mjini
 
.
sasa kwani nani kawazuia kuoa, Mungu au mwanadamu? Mungu katika uumbaji wake alisema "sii vema huyu mtu akae peke yake, akamfanyia msaidizi(mwanamke)wa kufanana nae". Sasa wnateswa na madogma yakibinadamu waliyojitungia wenyewe. taamaa za mwili zitawafyeka wote maana hakuna mwenye mke atakaemfumania padre na mke wake asimkate hiyo dushelele.
.

Yale yale tu maana ata wachungaji wamerehusiwa kuoa ila bado wanafanya uzinzi
 
binafsi sijapenda kitendo cha kuweka picha za padri anatoly salawa hapa mtandaono na kumdhalilisha hata kama amekosea. hata kama amekosea heshima na utu wake lazima upewe heshima. watu walioshika nafasi za kumwakilisha mungu tusiwabughudhi hata kidogo maana ni jwa hasara yetu. tuwasahihishe kwa hekima na tusiwaingize kwenye mitego ya kuanguka katika makosa hasa ya ufuska

Kweli ksbisa mkuu.
 
Yale yale tu maana ata wachungaji wamerehusiwa kuoa ila bado wanafanya uzinzi

.
simuungi mkono mzinzi awe padre, mchungaji, shehe au yeyote ila namsikitikia zaidi yule aliyeingizwa mkenge kula kiapo cha utii dhidi ya maumbile.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom