Huyu mungu s arudi jamani
Inaonekana hujaelewa.hapa waziri mkuu ndio anatafunwa.kaolewa
Inaonekana hujaelewa.hapa waziri mkuu ndio anatafunwa.kaolewa
Ooh kumbe amependa kidume
Hapana.Waziri mkuu ndio kaoa shoga
Hawa mawaziri wengine noma sana, duh
Dunia inaisha hivyoooo