mzee, wenzio wanakufariji na kukuficha, mimi nitakwambia ukweli wote.
ndoto yako ina maana kwamba, mtoto wako atakabiliwa na hatari ambayo inaweza kupoteza uhai wake kabisa, lakini ataponea chupuchupu. kitu cha muimu ni kwamba, uliona hajafa yaani wale mamba waliokuwa wanamfukuza hawakufanikiwa kumkamata, ni mamba mdogo ndio aling'ata tu gauni hiyo ina maana kwamba atakuwa attacked na kitu kitakachomuumiza kwa kumkwarua tu hatadhurika. tarajia hilo.
ndoto hizi huwa ukiota leo inaweza kutokea ndani ya wiki moja au mbili au mwezi au miezi. hivyo nakushauri anza kuomba Mungu na kukemea na kuvunja ndoto hiyo mbaya kwa Jina la Yesu Kristo lazima itasambaratika.
siku nyingine ukiota ndoto, palepale usiku utakapostuka usisubiri, ujue unapoota ndoto inamaana maadui zako ndio wako kwenye kikao cha kupanga mipango hiyo (maadui wanaweza kuwa wachawi au hata mapepo/mashetani tu huko kuzimu) na Mungu ni mwaminifu huwa anawaonyesha ndoto wabaya na wema. ukistuka tu palepale we kemea na sambaratisha, usipofanya hivyo ujue kuanzia kesho yake wale jamaa wanaanza kuitekeleza kwa kuweka mitego na kutuma mapepo, hivyo wawahi kabla hawajaanza kuitendea kazi wasambaratisha palepale usiku na huwa inafutika na haitatokea. kwasababu haujasambaratisha, jaribu kusambaratisha sasaivi kwamba mitego waliyoitega au maadui waliokaa tayari wasambaratishwe kwa Jina la Yesu, kama hautafanya hivyo itatokea kama ulivyoota. hayo maji ni ni dunia yaani mitaani huko, kuogelea kwenye maji ni kutembeatembea duniani na hayo mamamba inaweza kuwa hatari yeyote ambayo mashetani yametumwa kuja kufanya either ajali, ugomvi, magonjwa etc.
ukilala unekunja miguu lazima ndoto iwe ya kutisha. jitahidi kutokukunja miguu wakati unapoenda kulala.
Asante kamanda naamini hilo! Hongera mwenzangu umepata ulicho tamani!
Miezi michache baada ya ndoto ile ajira yangu iligoma, nikasota miezi kibao tu, kwa sasa niko job tena, ni kweli uliyosema.kama ni uongo au ukweli, yeye ataleta feedback ktk hili. nina uzoefu na hizo makitu na hakika yake kitu kilichoko mbele yangu huwa nakiota kabla hakijatokea. kuna hatari inamkaribia huyo mtoto wake lakini hatakufa pamoja na kwamba anaweza kukwaruriwa walau kidogo ila hatapata madhara makubwa mtoto wake ataendelea kuishi. kuna siku atakuja kuleta feedback hapa.
mzee, wenzio wanakufariji na kukuficha, mimi nitakwambia ukweli wote.
ndoto yako ina maana kwamba, mtoto wako atakabiliwa na hatari ambayo inaweza kupoteza uhai wake kabisa, lakini ataponea chupuchupu. kitu cha muimu ni kwamba, uliona hajafa yaani wale mamba waliokuwa wanamfukuza hawakufanikiwa kumkamata, ni mamba mdogo ndio aling'ata tu gauni hiyo ina maana kwamba atakuwa attacked na kitu kitakachomuumiza kwa kumkwarua tu hatadhurika. tarajia hilo.
ndoto hizi huwa ukiota leo inaweza kutokea ndani ya wiki moja au mbili au mwezi au miezi. hivyo nakushauri anza kuomba Mungu na kukemea na kuvunja ndoto hiyo mbaya kwa Jina la Yesu Kristo lazima itasambaratika.
siku nyingine ukiota ndoto, palepale usiku utakapostuka usisubiri, ujue unapoota ndoto inamaana maadui zako ndio wako kwenye kikao cha kupanga mipango hiyo (maadui wanaweza kuwa wachawi au hata mapepo/mashetani tu huko kuzimu) na Mungu ni mwaminifu huwa anawaonyesha ndoto wabaya na wema. ukistuka tu palepale we kemea na sambaratisha, usipofanya hivyo ujue kuanzia kesho yake wale jamaa wanaanza kuitekeleza kwa kuweka mitego na kutuma mapepo, hivyo wawahi kabla hawajaanza kuitendea kazi wasambaratisha palepale usiku na huwa inafutika na haitatokea. kwasababu haujasambaratisha, jaribu kusambaratisha sasaivi kwamba mitego waliyoitega au maadui waliokaa tayari wasambaratishwe kwa Jina la Yesu, kama hautafanya hivyo itatokea kama ulivyoota. hayo maji ni ni dunia yaani mitaani huko, kuogelea kwenye maji ni kutembeatembea duniani na hayo mamamba inaweza kuwa hatari yeyote ambayo mashetani yametumwa kuja kufanya either ajali, ugomvi, magonjwa etc.