BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Inawezekana Mkuu maana mie sijui utaratibu wao, lakini kisheria kwenye hili la kusimamishwa kazi hawana obligation yoyote ile kwa mume.
Well, nadhani kila ofisi ina utaratibu wake, na according to the story inaonyesha hiyo ofisi wako obliged kufanya hivyo, ndio maana wamemuahidi watamjibu na wameshajadili namna ya kumjibu pia.