Pole ndugu yangu,naomba uwe bize tu na maisha usiipe nafasi akiri ako kumuwaza yy,na tambua kwamba hyo ni binadamu ambae anaweza badilika muda wwte,lkn mungu habadiliki,jarbu kujichanganya na watu usikae lonely,
Yaani watu wa dar wanamisifu cnaa kwa maneno tu,unweza kimbia,nakumbuka nilipofika form five dah hawa jamaa hata kabla hatujaanza kusoma yaani anakwambia amekuja kupata zake dv one arudi zake dar,tena anasema alishamaliza syllabus mwisho wa Siku wengine hata hyo one hawaipati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.