Natafuta kazi za ndani

Natafuta kazi za ndani

Siku nne ni jumatatu hadi alhamisi...huoni kwamba haupo sawa..kazi huwa zinaenda hadi ijumaa au jumamamosi ambapo labda mwajiri wako anakuwa off hyo siku
 
Shida sio kutoa namba. Shida ni namba imetolewa wapi? Kuna watu wengine wakiona hivyo wanahis pengine mtu anatafta mume/bwana. Hivi kwani ukiona thread haikuhusu si utulie wanaeza kutoa msaada juu ya hilo watoe? Kwani ye huyo dada hawezi kusema anatafuta bwana hadi muanze kumsumbua? Kimsingi dada pole kwa usumbufu unaopata. Hii yote ni vile tunatofautian uelewa. Wengine wana uelewa mkubwa, wengine wa kati na wengine mdogo.
Labda jaribu kuulizia nyumba kwa nyumba kwa huko unapoishi
 
  • Thanks
Reactions: Olv
Ebu nifafanulie mkuu wangu
Majibu yako kwa huyu binti hayana hekima mkuu, kila mtu anashida mbalimbali, sio jambo la busara kufanya dhihaka kwenye shida ya mtu. Kama unahitaji mfanyakazi ongea naye tu kwa utu. Jaribu kufikiri angekuwa mama yako anaomba kazi ili akusomeshe afu unamjibu kama hivyo unavyomjibu huyu binti.
 
Siku nne ni jumatatu hadi alhamisi...huoni kwamba haupo sawa..kazi huwa zinaenda hadi ijumaa au jumamamosi ambapo labda mwajiri wako anakuwa off hyo siku
Nina7b ya kuandka hvy...Wapo walioulza Nkawaelewesh vzur Zaid....Ndo maana nmeweka cm
 
Naelewa watu
Gwachupa said:
Shida sio kutoa namba. Shida ni namba imetolewa wapi? Kuna watu wengine wakiona hivyo wanahis pengine mtu anatafta mume/bwana. Hivi kwani ukiona thread haikuhusu si utulie wanaeza kutoa msaada juu ya hilo watoe? Kwani ye huyo dada hawezi kusema anatafuta bwana hadi muanze kumsumbua? Kimsingi dada pole kwa usumbufu unaopata. Hii yote ni vile tunatofautian uelewa. Wengine wana uelewa mkubwa, wengine wa kati na wengine mdogo.
Labda jaribu kuulizia nyumba kwa nyumba kwa huko unapoishi
Naelewa watu tunatofautiana....hata nlipoweka namba nlikua najua nn kitafuata...Nitakabliana nao had nipate nachoktaka
 
Nina miaka 25... Nataft kaz ya ndan Kwa part time.... Ninaweza kufany kaz zote za nymban....Mara 3 au 4 Kwa wki....Malipo n makubaliano kulingana ana kaz zenyew...Mawacliano yang n 0659449374......0743621928....Kwa Anaehtaj antaft🙂
Maelezo yako ni mazuri sana. Lakini naomba kujua yafuatayo kabla sijafanya maamuzi:
1. Unaishi Dar sehemu gani
2. Ni kwenu ulipo zaliwa yaani hapo unapoishi na kama hapana we ni mwenyeji wa wapi.
3. Una mtoto
ahsante.
 
Maelezo yako ni mazuri sana. Lakini naomba kujua yafuatayo kabla sijafanya maamuzi:
1. Unaishi Dar sehemu gani
2. Ni kwenu ulipo zaliwa yaani hapo unapoishi na kama hapana we ni mwenyeji wa wapi.
3. Una mtoto
ahsante.
Nomb cm yako tuongee huko
 
Mie nipo porini mno sina mke wala mtoto, nataka uje kwangu iwe fully time job utaweza...
Mie sina haja na cv au background yako
 
Sidhani kama kuna mtafuta kazi hapa.Anyway mola atakupa mwangaza mwema inshaallah.
 
Mwenye Namba 0678853904
Shika adabu yako....M co mpumbavu mwenzio.....
Hu!huuu!!huuuuu!!!.......kuna risk ya wewe kuweka screenshot zangu za pm hapa,twafadhali usifanye hivyo!
 
Nayajua hayo ndug...Ahsant Kwa onyo....Wamejtokeza wakwl na wanaotaka stareh.... Nmewezakukabliana nao....Ninanitambua..ahsant
Nashukuru kama umeweza kulimudu hilo, ila nimeona kuna tangazo mtu anataka mfamyakaz wa ndani mi naona hio ndo njia bora zaid uwe tu unafatilia ukiona tangazo la mtu unaongea nae direct.
Pia kama umepata baadhi ambao wanahitaji kweli mfanyakaz basi vizuri ongea nao ila kua makini tu kwa sasa hali sio nzuri nakushauri pia tembelea tovuti ya zoomtanzania.com napo pia hua wanatangaza nafas unayohitaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom