Naumizwa na mapenzi

Naumizwa na mapenzi

Pole ndugu yangu,naomba uwe bize tu na maisha usiipe nafasi akiri ako kumuwaza yy,na tambua kwamba hyo ni binadamu ambae anaweza badilika muda wwte,lkn mungu habadiliki,jarbu kujichanganya na watu usikae lonely,
 
Pole ndugu yangu,naomba uwe bize tu na maisha usiipe nafasi akiri ako kumuwaza yy,na tambua kwamba hyo ni binadamu ambae anaweza badilika muda wwte,lkn mungu habadiliki,jarbu kujichanganya na watu usikae lonely,
Thanks a lot
 
IMG-20170701-WA0048.jpg
 
Pole ila dizain kama hajakuamini vile sina uhakika lkn cs nmejitolea mfano mwenyewe

Mimi hua naingia kwe mahusiano bila kumpenda mtu na inachukua muda kuja kukupenda completely
kama ivo naeza nkakuchunia for no reason au nkakunyima kitu maksudi ili nikuone tuu
au somtyms nakua na stress zangu so sitaki simu ya mapenzi had ntapotatua shida yangu then ntaktafta nkiwa na mood

Watu hatufanan ujue miezi 2 3haitoshi mm kukupenda completely

nacho kushauri uskate tamaa mpende kwa moyo lkn pia mfanye ajue unampenda
ukikata tamaa atajua you ware not serious na atakuacha
ila somtym sie wanaume hatuna fomuler so ngumu sana kumjua vizuri
 
Back
Top Bottom