Recent content by Sonjohnson

  1. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Mwanamke asielia kwenye kuchi kuchi anachosha!

    Kaza alie
  2. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Hichi ndicho kitafanya nimuache mke wangu

    Mpe adhabu ya kutokumjibu wala kumpiga. Usijipe stress hakikisha wanao wanakula na wanasoma kama unao. kama utampuuza kila atakapoleta maneno ataumia na atajirudi.
  3. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Kupayuka! Mbinu mpya ya kubaki kileleni?

    Kwa kweli Mungu awabariki wasanii na watu wengine jasiri katika kukemea kwa kupaza sauti juu ya uhuru ulipungua. Wakati huu watu tumekuwa waoga kukosoa yanayoendelea mfano kutokutolewa tamko vyeti feki vya watu kama DAB. au kwa kuwa ni wakubwa ndo wapo juu ya sheria? Wenye kuweza kutolea...
  4. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya viwanda: Another failure at first place

    Well said hilo la kuwekeza kwenye sayansi na teknolojia pamoja na research ndo has a. Elimu inapaswa kupewa high priority
  5. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Kukataliwa kwa Mkapa Burundi: Je, ni mwisho wa "ushawishi" wa TZ katika Siasa za Afrika?

    Hayo yote chanzo chake ni kukanyagia chini democrasia.
  6. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Kuna tatizo lolote 'girlfriend' wangu akinizidi miaka mitatu?

    So aendelee kula madini na kuhalalisha
  7. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania RC Makonda ashtakiwa kwa kudhalilisha wanawake na kukosa maadili

    Hata mi nalaani mbaya. Sio tu kwa jinsia moja. Kauli kama za Boss Makonda hazifai kabisa kwa mtu wa jinsia yoyote. Hapaswi kutoa maneno makali kama yale yeye kama kiongozi au hata angekuwa mtu wa kawaida asiye kiongozi. Matatizo hayatatuliwi kwa jazba iliyopitiliza.
  8. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Serikali yawanyang'anya mashine za maji wakulima na kusababisha kukauka kwa ekari 200 za vitunguu

    Kwa kweli hao wakulima wamenyanyasika. Ubinadamu haujatumika kiukweli
  9. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Lema: Heshima kubwa kwa Mungu kumzomea Fisadi Lowassa

    Mada ambayo haina mashiko na vielelezo humu haina nafasi. Lete facts hapa
  10. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Ni kipi chanzo na tiba ya misuli ya jicho kutikisika?

    Kwa imani zetu. Utasikia kifo cha binadamu
  11. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Swali kwa wanaume waliooa tu

    Jamaa nitamblacklist na huyo mshenzi atarudi kwao. Mbaya zaidi kufanyia katika nyumba yangu. Nikiwa na panga hapohapo kumfyeka huyo dume
  12. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania CCM mnajichimbia kaburi nawambieni mtanikumbuka

    Wewe ni mjima huu sio wakati wa ukoloni. Hizi ni zama za kidemocrasia
  13. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Zitto na UKUTA

    We RG wacha watu wafanye political rallies. Mbona hamjiamini. Hayo ya kuzuia walitufanyia wakoloni. Acha mambo ya kijima hayo!
  14. Sonjohnson

    JamiiForums Tanzania Zitto na UKUTA

    Jamani kwa nini tunarudi kwenye enzi za chama kimoja? Kwa nini tuhofie usalama watu kufanya mikutano ya kisiasa. Kwa nini iwe kwa wapinzani tu. Nashukuru kila tunapowakwanza ndo mwanzo wa kukua kwao. Ni wakati wa kuacha watu kuwa huru kueleza mambo yao ya kisiasa bila kizuizi. Let the democracy...
Back
Top Bottom