EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
"Tunatoa wito kwa Vyama vyote vya siasa nchini kuunganisha nguvu katika kuhakikisha tunapigana vita [ dhidi ya udikteta] pamoja. Huu ni wakati wa vyama vya siasa na wanasiasa kuacha tofauti zao na kupambana kulinda uhuru wa kufanya siasa wakati wowote kwa mujibu wa Sheria."
Tulisema hayo baada ya kauli ya Rais kuzuia Vyama kufanya Siasa. Wito wetu bado upo pale pale. Hii sio vita ya chama kimoja kimoja. Narudia kutaka wanasiasa wa upinzani, ninawasihi tupigane vita hii pamoja. Tuweke tofauti zetu pembeni.
Zitto Kabwe, Mb
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo.
Tulisema hayo baada ya kauli ya Rais kuzuia Vyama kufanya Siasa. Wito wetu bado upo pale pale. Hii sio vita ya chama kimoja kimoja. Narudia kutaka wanasiasa wa upinzani, ninawasihi tupigane vita hii pamoja. Tuweke tofauti zetu pembeni.
Zitto Kabwe, Mb
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo.