Wanawake Wapo hivi nisikilize Kwa makini,Alikuwa ila kajifungua nilihisi labda ni mimba lkn imeendelea mpk baada ya kujifungua my
Mi naona wanawake tuko wengi saana sioni haja ya kupata shida na mtu mliekutana naye ukubwani ukiona ni shiida potezea tafuta mwingine watu wanalala makanisani kuomba wapate japo mtu wa kuzaa naye tuu leo hii uanze na kuhangaika na mtu anayekukera, hela ngumu saana kutafuta, maisha ni magumu bado uangaike na mtu upate stress ya kutafuta hela na ya kumkabili mtu nyumbani kama hajafunzwa kwao namna ya kumbembeleza mume mpe likizo ya kwenda kupata kozi akipigwa na upepo wa naisha hata miezi miwili tuu akirudi ataitika hata ukikohoa na goti juuHusika na kichwa cha habari hapo juu.Hii sio story ni mambo ambayo yanaendelea katika nyumba yangu kwa kweli niliowa kwa leo kwa kutegemea kuna vitu nitavikuta katika ndoa lkn imekuwa ni kinyume na matarajio yangu
1. Dharau
Yani siku nikinunua mboga ambayo haipendi lazima ataitupa au kuzila na hatopika na maneno ya kashfa hii haangalii tuko wapi.
2. Wivu uliopitiliza
Natoka alfajiri kwenda job narudi jioni kabisa kichwa kimechoka natarajia kutulizwa na kupewa pole ila ilo zogo home utatamani urudi job ila ndio washafunga.
3. Uaminifu
Yani inafika stage nikirudi kazini nivuliwa nguo nasuswa kama sijachepuka
Nikienda kwa rafiki nikirudi lazima ipigwe simu kujua kama nilikuwa hoko
Swali hivi ndoa ndio ziko hivi zote?
Kuna umuhimu gani wa kuwa kwenye ndoa na wakati humwamini mwenzio hata 1%!
Kibaya zaidi ukimkanya tu ananuna anenda beach. Alafu tuko nchi xa watu kwa kweli namrudisha.
Am out namuacha kwa kweli this is too much.
[emoji125] mm mbiooooo
Mtu wa dharau utaongea nae nn,maana kabla ya Kusema unachodhani kinajenga yy Kesha dharauUnaonaje ukikaa na mkeo mkajadili kuhusu hizo tabia? maana uku sidhani kama ni sehemu sahihi.
Weeeeeeeee cheusi weweeeHuyo ni chaguo lakooooo[emoji445] [emoji444] [emoji443] [emoji442]
29 mtoto?Asante mkuu nilitaka kusema hivi hivi,nimeangalia profile yake nikajua tu huyu kaowa katoto aged18 maana yeye mwenyewe kama wa muda mrefu basi wa 1993/1994.vijana msivamie ndoa mkidhani 100% ni raha no kuna changamoto zake zinazohitaji kuvumilia.
Zipo tabia kuu mbili,Tatzo kubwa la ndoa au mahusiano ni kutokuwa na muda wa kuwasoma wapenzi wetu (wakati wa uchumba). Ungelitambua hilo mapema uchumba ungevunjwa, lakn kama tyr umemwoa ni sheeeeda! Jaribu kutoka nae out na mwambie unavyojisikia, ukikwama waone Ma- best wenu wa ndoa kwa ushauri zaidi.
Hayaja kukuta kaka, hili la Huyu dogo,wengine tulikuwa tunatozwa hela ukitaka tendo la ndoaKwa hiyo wewe baba wa familia unarudi kutoka kazini mke anakwambia vua nikunuse kama hujachepuka...na wewe huwa unavua nguo kweli!!!?
Shida unayo wewe sio mkeo!!
Humu mna mzee mwenyewe anajiita Lemutuz huyu jamaa atamuita babu kwa umri wake ulivyo ila akili zake huyu kijana kuna uwezekano haziwezi kumtuma kupost vitu anavopost humu huyo Lemutuz so unaweza kuona kwamba hizo ni number tu ila in reality dogo hajakuwa bado.29 mtoto?
Ha ha ha nimekuelewa saaaanaMi naona wanawake tuko wengi saana sioni haja ya kupata shida na mtu mliekutana naye ukubwani ukiona ni shiida potezea tafuta mwingine watu wanalala makanisani kuomba wapate japo mtu wa kuzaa naye tuu leo hii uanze na kuhangaika na mtu anayekukera, hela ngumu saana kutafuta, maisha ni magumu bado uangaike na mtu upate stress ya kutafuta hela na ya kumkabili mtu nyumbani kama hajafunzwa kwao namna ya kumbembeleza mume mpe likizo ya kwenda kupata kozi akipigwa na upepo wa naisha hata miezi miwili tuu akirudi ataitika hata ukikohoa na goti juu
Ahsante nitaufanyia kazi ushauri wakoLa msingi hebu Millie MUNGU, ili km huyo ndo ubavu wako ulopangiwa Mungu arekebishe ama km siyo Mungu akuoneshe hatua sahihi ya kuchukua, Anza Kwa kuomba toba,kisha msamehe, Halafu usijihesabie haki jione na ww mdhambi pia,kisha muombee toba yy pia,
Kisha muombe Mungu aingilie Kati,weka imani kuu na MUNGU atakupa jibu,
Nlishapita huko Natamani kuongea zaidi na ww
Mpe adhabu ya kutokumjibu wala kumpiga. Usijipe stress hakikisha wanao wanakula na wanasoma kama unao. kama utampuuza kila atakapoleta maneno ataumia na atajirudi.Mkuu najua umechoka na hizo habari, lkn jaribu kaaa nae mkaongea kwa kirefu pia kama unampemda onesha kama unampenda na kumjari, kama anajielewa atakuelewa lkn kama bado ana akiri za kitoto hato kuelewa atazusha mambo mengine na kuona hufanyi chochote