Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
- Thread starter
- #41
ukiona hasira inakuzidi nguvu tafuta bia tu, piga mbili kwanza kichwa kikae sawa halafu ongea na mtu aliekukwaza, lazma muafaka upatikane kwa amani kabisa.. hata ukikwazana na mama watoto kapige bia rudi home, ukimwona lazma utamshushia mabusu, atabaki anashangaa tu..
IT WORKS FOR ME.
Kuna makosa mengine lazima upaniki. Na bia haishuki.