mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,043
Binafsi ninapousikia huu usemi napatwa na kigugumizi ,kwa elimu yangu ndogo hii ya uchumi katika dunia ya utandawazi nina maswali mengi kushinda majibu kwa mfano
1.Viwanda vinavyotajwa kwenye makaratasi na mikutano mbalimbali ikitokea vikazalisha bidhaa tutauza wapi? (Market ya products at global level) Je tuta charge tarrifs na quotas kubwa bidhaa za ulaya na Mashariki ya mbali ili zetu ziuzike?
2.Swali la pili sambamba na swali lililopita ,hatuna technology, wala Reseach and deveopment centres ambazo ni nyumba ya innovations na technological capabilities so we depend totally on imported technology and machines. Tutawezaje kupambana katika soko na watu ambao wametuuzia technology? (assume machines tunazo however the fact hatuna) huu sio mpambano wa Tembo na sungura?
3.Swali la tatu historia inaonyesha nchi zote zilizoendelea kiviwanda waliwekeza kwenye rasilimali watu (human capital) tena kwa muda mrefu tu ,itawezekana vipi hii paper policy itekelezelezwe ndani ya miaka mi 5?
4.kwa wanaojua maana hasa ya Globalization is an attemp to make African countries to be primary producers wa raw materials hii ni moja ya objectives zao major political global powers hili halina ubishi utandawazi ni ubepari !hivyo basi kutangaza viwanda kwa nchi za ulaya na East Asia ni kutangaza vita ya masilahi tumejiandaa vipi kukabiliana na hili?tulijifunza kweli kwenye sera ya ISI pilicy ambayo tuli adopt soon after independence ikafa tukajaribu Export promotion industrialization ikafa kibudu ikafuata ujamaa policy then import liberalization na sasa SIDP?
5.Ushirikishwaji wa nchi za kiafrica zingine katika kuunda efficient regional integration and cooperation kwa kuwa na common markets ,free trade areas na ku charge ushuru mkubwa bidhaa za nje ya ukanda ili viwanda vya nyumbani (infantry industry) vikue kama wanavyo propose "Prof viners pure theory of international trade " na kuongeza bargaining power as a regional bloc ukoje na tumehamasishaje?
Au Tanzania as a single countrypeke yake
itazuia soko lake kuuzwa bidhaa kutoka nje ya nchi kama ilivyotokea mwaka 1667 nchi za ulaya walipozuia marekani wasiingie bidhaa za chuma Europe?
6.Aliyetunga sera ya viwanda kupitia chama cha mapinduzi alizitambua changamoto hizo juu?Je kwakutumia tu utashi wa kawaida wa kujua kusoma na kuandika hii sera inatekelezeka ndani ya miaka mitano?????
7.Tukiangalia kwa undani safari ya sera ya technolojia na viwanda na Africa kiujumla zinafana fanana ila moja ya sababu ya kufeli hii sera at first place Tanzania ni kushindwa ku repair machine. kwakua in Africa hamna technological transfer na patent rights za technolojia ni kubwa mno kiasi kwamba wataalamu wengi wana link acquisation ya technolojia na heavy debt burden (mikopo mikubwa) na bado wana control technolojia zao hata baada ya kukukodishia inatia umasikini bara la Africa vipi baba Magufuli umejiandaa nalo vipi hili?
Mbaya zaidi hizi imported technology hatuwezi ku adapt katika mazingira yetu (indegeneous technology )
8.Swali lingine je watunga sera ya viwanda wanajua kuwa maendeleo ya Africa yanaendeshwa na sera za nchi za magharibi?unajua kwanini huu ni muongo wa sita tangua Africa ianze kupata uhuru imeshindwa kuwa na self reliant development (self sustained) licha ya kuwa ni kinara wa resources?
Maswali ni mengi mno,sera ya viwanda kwa sasa hivi ni ya chama hii maana yake nini ikitokea chama kingine kikachukua madaraka upo uwezekano wakaifutilia mbali muda huo lazima tutambue hamna Taifa limekua kiuchumi bila maendeleo ya sayansi ,Techolojia na viwanda katika share yake kwenye GDP,BOP, kutengeneza ajira,kuongeza kipato na kuboresha maisha ya raia wake katika level mbalimbali za kijamii .
Hii hoja inaibua mjadala pia, Je sera ya nchi ikoje katika kukuza maendeleo ya sayansi na Technolijia?Je ilifeli ndo maana ikaanzishwa political party initiation ya viwanda?Huku sio kuanzisha administrative bureaucracy?Yaani tumeanzisha kitu ambacho kilishakuwepo lakini hakukuwa na utekelezaji maana yake tulishafeli?
Wasalam
1.Viwanda vinavyotajwa kwenye makaratasi na mikutano mbalimbali ikitokea vikazalisha bidhaa tutauza wapi? (Market ya products at global level) Je tuta charge tarrifs na quotas kubwa bidhaa za ulaya na Mashariki ya mbali ili zetu ziuzike?
2.Swali la pili sambamba na swali lililopita ,hatuna technology, wala Reseach and deveopment centres ambazo ni nyumba ya innovations na technological capabilities so we depend totally on imported technology and machines. Tutawezaje kupambana katika soko na watu ambao wametuuzia technology? (assume machines tunazo however the fact hatuna) huu sio mpambano wa Tembo na sungura?
3.Swali la tatu historia inaonyesha nchi zote zilizoendelea kiviwanda waliwekeza kwenye rasilimali watu (human capital) tena kwa muda mrefu tu ,itawezekana vipi hii paper policy itekelezelezwe ndani ya miaka mi 5?
4.kwa wanaojua maana hasa ya Globalization is an attemp to make African countries to be primary producers wa raw materials hii ni moja ya objectives zao major political global powers hili halina ubishi utandawazi ni ubepari !hivyo basi kutangaza viwanda kwa nchi za ulaya na East Asia ni kutangaza vita ya masilahi tumejiandaa vipi kukabiliana na hili?tulijifunza kweli kwenye sera ya ISI pilicy ambayo tuli adopt soon after independence ikafa tukajaribu Export promotion industrialization ikafa kibudu ikafuata ujamaa policy then import liberalization na sasa SIDP?
5.Ushirikishwaji wa nchi za kiafrica zingine katika kuunda efficient regional integration and cooperation kwa kuwa na common markets ,free trade areas na ku charge ushuru mkubwa bidhaa za nje ya ukanda ili viwanda vya nyumbani (infantry industry) vikue kama wanavyo propose "Prof viners pure theory of international trade " na kuongeza bargaining power as a regional bloc ukoje na tumehamasishaje?
Au Tanzania as a single countrypeke yake
itazuia soko lake kuuzwa bidhaa kutoka nje ya nchi kama ilivyotokea mwaka 1667 nchi za ulaya walipozuia marekani wasiingie bidhaa za chuma Europe?
6.Aliyetunga sera ya viwanda kupitia chama cha mapinduzi alizitambua changamoto hizo juu?Je kwakutumia tu utashi wa kawaida wa kujua kusoma na kuandika hii sera inatekelezeka ndani ya miaka mitano?????
7.Tukiangalia kwa undani safari ya sera ya technolojia na viwanda na Africa kiujumla zinafana fanana ila moja ya sababu ya kufeli hii sera at first place Tanzania ni kushindwa ku repair machine. kwakua in Africa hamna technological transfer na patent rights za technolojia ni kubwa mno kiasi kwamba wataalamu wengi wana link acquisation ya technolojia na heavy debt burden (mikopo mikubwa) na bado wana control technolojia zao hata baada ya kukukodishia inatia umasikini bara la Africa vipi baba Magufuli umejiandaa nalo vipi hili?
Mbaya zaidi hizi imported technology hatuwezi ku adapt katika mazingira yetu (indegeneous technology )
8.Swali lingine je watunga sera ya viwanda wanajua kuwa maendeleo ya Africa yanaendeshwa na sera za nchi za magharibi?unajua kwanini huu ni muongo wa sita tangua Africa ianze kupata uhuru imeshindwa kuwa na self reliant development (self sustained) licha ya kuwa ni kinara wa resources?
Maswali ni mengi mno,sera ya viwanda kwa sasa hivi ni ya chama hii maana yake nini ikitokea chama kingine kikachukua madaraka upo uwezekano wakaifutilia mbali muda huo lazima tutambue hamna Taifa limekua kiuchumi bila maendeleo ya sayansi ,Techolojia na viwanda katika share yake kwenye GDP,BOP, kutengeneza ajira,kuongeza kipato na kuboresha maisha ya raia wake katika level mbalimbali za kijamii .
Hii hoja inaibua mjadala pia, Je sera ya nchi ikoje katika kukuza maendeleo ya sayansi na Technolijia?Je ilifeli ndo maana ikaanzishwa political party initiation ya viwanda?Huku sio kuanzisha administrative bureaucracy?Yaani tumeanzisha kitu ambacho kilishakuwepo lakini hakukuwa na utekelezaji maana yake tulishafeli?
Wasalam