Tanzania ya viwanda: Another failure at first place

Tanzania ya viwanda: Another failure at first place

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
22,477
Reaction score
21,043
Binafsi ninapousikia huu usemi napatwa na kigugumizi ,kwa elimu yangu ndogo hii ya uchumi katika dunia ya utandawazi nina maswali mengi kushinda majibu kwa mfano

1.Viwanda vinavyotajwa kwenye makaratasi na mikutano mbalimbali ikitokea vikazalisha bidhaa tutauza wapi? (Market ya products at global level) Je tuta charge tarrifs na quotas kubwa bidhaa za ulaya na Mashariki ya mbali ili zetu ziuzike?

2.Swali la pili sambamba na swali lililopita ,hatuna technology, wala Reseach and deveopment centres ambazo ni nyumba ya innovations na technological capabilities so we depend totally on imported technology and machines. Tutawezaje kupambana katika soko na watu ambao wametuuzia technology? (assume machines tunazo however the fact hatuna) huu sio mpambano wa Tembo na sungura?

3.Swali la tatu historia inaonyesha nchi zote zilizoendelea kiviwanda waliwekeza kwenye rasilimali watu (human capital) tena kwa muda mrefu tu ,itawezekana vipi hii paper policy itekelezelezwe ndani ya miaka mi 5?

4.kwa wanaojua maana hasa ya Globalization is an attemp to make African countries to be primary producers wa raw materials hii ni moja ya objectives zao major political global powers hili halina ubishi utandawazi ni ubepari !hivyo basi kutangaza viwanda kwa nchi za ulaya na East Asia ni kutangaza vita ya masilahi tumejiandaa vipi kukabiliana na hili?tulijifunza kweli kwenye sera ya ISI pilicy ambayo tuli adopt soon after independence ikafa tukajaribu Export promotion industrialization ikafa kibudu ikafuata ujamaa policy then import liberalization na sasa SIDP?

5.Ushirikishwaji wa nchi za kiafrica zingine katika kuunda efficient regional integration and cooperation kwa kuwa na common markets ,free trade areas na ku charge ushuru mkubwa bidhaa za nje ya ukanda ili viwanda vya nyumbani (infantry industry) vikue kama wanavyo propose "Prof viners pure theory of international trade " na kuongeza bargaining power as a regional bloc ukoje na tumehamasishaje?
Au Tanzania as a single countrypeke yake
itazuia soko lake kuuzwa bidhaa kutoka nje ya nchi kama ilivyotokea mwaka 1667 nchi za ulaya walipozuia marekani wasiingie bidhaa za chuma Europe?

6.Aliyetunga sera ya viwanda kupitia chama cha mapinduzi alizitambua changamoto hizo juu?Je kwakutumia tu utashi wa kawaida wa kujua kusoma na kuandika hii sera inatekelezeka ndani ya miaka mitano?????

7.Tukiangalia kwa undani safari ya sera ya technolojia na viwanda na Africa kiujumla zinafana fanana ila moja ya sababu ya kufeli hii sera at first place Tanzania ni kushindwa ku repair machine. kwakua in Africa hamna technological transfer na patent rights za technolojia ni kubwa mno kiasi kwamba wataalamu wengi wana link acquisation ya technolojia na heavy debt burden (mikopo mikubwa) na bado wana control technolojia zao hata baada ya kukukodishia inatia umasikini bara la Africa vipi baba Magufuli umejiandaa nalo vipi hili?
Mbaya zaidi hizi imported technology hatuwezi ku adapt katika mazingira yetu (indegeneous technology )

8.Swali lingine je watunga sera ya viwanda wanajua kuwa maendeleo ya Africa yanaendeshwa na sera za nchi za magharibi?unajua kwanini huu ni muongo wa sita tangua Africa ianze kupata uhuru imeshindwa kuwa na self reliant development (self sustained) licha ya kuwa ni kinara wa resources?

Maswali ni mengi mno,sera ya viwanda kwa sasa hivi ni ya chama hii maana yake nini ikitokea chama kingine kikachukua madaraka upo uwezekano wakaifutilia mbali muda huo lazima tutambue hamna Taifa limekua kiuchumi bila maendeleo ya sayansi ,Techolojia na viwanda katika share yake kwenye GDP,BOP, kutengeneza ajira,kuongeza kipato na kuboresha maisha ya raia wake katika level mbalimbali za kijamii .

Hii hoja inaibua mjadala pia, Je sera ya nchi ikoje katika kukuza maendeleo ya sayansi na Technolijia?Je ilifeli ndo maana ikaanzishwa political party initiation ya viwanda?Huku sio kuanzisha administrative bureaucracy?Yaani tumeanzisha kitu ambacho kilishakuwepo lakini hakukuwa na utekelezaji maana yake tulishafeli?

Wasalam
 
Binafsi ninapousikia huu usemi napatwa na kigugumizi ,kwa elimu yangu ndogo hii ya uchumi katika dunia ya utandawazi nina maswali mengi kushinda majibu kwa mfano

1.Viwanda vinavyotajwa kwenye makaratasi na mikutano mbalimbali ikitokea vikazalisha bidhaa tutauza wapi? (Market ya products at global level) Je tuta charge tarrifs na quotas kubwa bidhaa za ulaya na Mashariki ya mbali ili zetu ziuzike?

2.Swali la pili sambamba na swali lililopita ,hatuna technology, wala Reseach and deveopment centres ambazo ni nyumba ya innovations na technological capabilities so we depend totally on imported technology and machines. Tutawezaje kupambana katika soko na watu ambao wametuuzia technology? (assume machines tunazo however the fact hatuna) huu sio mpambano wa Tembo na sungura?

3.Swali la tatu historia inaonyesha nchi zote zilizoendelea kiviwanda waliwekeza kwenye rasilimali watu (human capital) tena kwa muda mrefu tu ,itawezekana vipi hii paper policy itekelezelezwe ndani ya miaka mi 5?

4.kwa wanaojua maana hasa ya Globalization is an attemp to make African countries to be primary producers wa raw materials hii ni moja ya objectives zao major political global powers hili halina ubishi utandawazi ni ubepari !hivyo basi kutangaza viwanda kwa nchi za ulaya na East Asia ni kutangaza vita ya masilahi tumejiandaa vipi kukabiliana na hili?tulijifunza kweli kwenye sera ya ISI pilicy ambayo tuli adopt soon after independence ikafa tukajaribu Export promotion industrialization ikafa kibudu ikafuata ujamaa policy then import liberalization na sasa SIDP?

5.Ushirikishwaji wa nchi za kiafrica zingine katika kuunda efficient regional integration and cooperation kwa kuwa na common markets ,free trade areas na ku charge ushuru mkubwa bidhaa za nje ya ukanda ili viwanda vya nyumbani (infantry industry) vikue kama wanavyo propose "Prof viners pure theory of international trade " na kuongeza bargaining power as a regional bloc ukoje na tumehamasishaje?
Au Tanzania as a single countrypeke yake
itazuia soko lake kuuzwa bidhaa kutoka nje ya nchi kama ilivyotokea mwaka 1667 nchi za ulaya walipozuia marekani wasiingie bidhaa za chuma Europe?

6.Aliyetunga sera ya viwanda kupitia chama cha mapinduzi alizitambua changamoto hizo juu?Je kwakutumia tu utashi wa kawaida wa kujua kusoma na kuandika hii sera inatekelezeka ndani ya miaka mitano?????

7.Tukiangalia kwa undani safari ya sera ya technolojia na viwanda na Africa kiujumla zinafana fanana ila moja ya sababu ya kufeli hii sera at first place Tanzania ni kushindwa ku repair machine. kwakua in Africa hamna technological transfer na patent rights za technolojia ni kubwa mno kiasi kwamba wataalamu wengi wana link acquisation ya technolojia na heavy debt burden (mikopo mikubwa) na bado wana control technolojia zao hata baada ya kukukodishia inatia umasikini bara la Africa vipi baba Magufuli umejiandaa nalo vipi hili?
Mbaya zaidi hizi imported technology hatuwezi ku adapt katika mazingira yetu (indegeneous technology )

8.Swali lingine je watunga sera ya viwanda wanajua kuwa maendeleo ya Africa yanaendeshwa na sera za nchi za magharibi?unajua kwanini huu ni muongo wa sita tangua Africa ianze kupata uhuru imeshindwa kuwa na self reliant development (self sustained) licha ya kuwa ni kinara wa resources?

Maswali ni mengi mno,sera ya viwanda kwa sasa hivi ni ya chama hii maana yake nini ikitokea chama kingine kikachukua madaraka upo uwezekano wakaifutilia mbali muda huo lazima tutambue hamna Taifa limekua kiuchumi bila maendeleo ya sayansi ,Techolojia na viwanda katika share yake kwenye GDP,BOP, kutengeneza ajira,kuongeza kipato na kuboresha maisha ya raia wake katika level mbalimbali za kijamii .

Hii hoja inaibua mjadala pia, Je sera ya nchi ikoje katika kukuza maendeleo ya sayansi na Technolijia?Je ilifeli ndo maana ikaanzishwa political party initiation ya viwanda?Huku sio kuanzisha administrative bureaucracy?Yaani tumeanzisha kitu ambacho kilishakuwepo lakini hakukuwa na utekelezaji maana yake tulishafeli?

Wasalam
Umenikuna no 2 na 5 na umesema kweli kabisa mkuu
 
Viwanda vitakavyoanzishwa na wazawa sio heavy industries, ni kama vya sukari, chumvi, juice, mafuta ya kula n.k ambavyo mipango yake ni kupandisha tariffs kwa imports huku watanzania wakiambiwa wajiongeze kumiliki market share kwa kupewa hiyo competitive advantage
hivyo heavy industries ni wawekezaji wanavutiwa kama akina Dangote n.k
so Tanzania ya viwanda sio viwanda vikubwa tunavyodhani
 
Binafsi ninapousikia huu usemi napatwa na kigugumizi ,kwa elimu yangu ndogo hii ya uchumi katika dunia ya utandawazi nina maswali mengi kushinda majibu kwa mfano

1.Viwanda vinavyotajwa kwenye makaratasi na mikutano mbalimbali ikitokea vikazalisha bidhaa tutauza wapi? (Market ya products at global level) Je tuta charge tarrifs na quotas kubwa bidhaa za ulaya na Mashariki ya mbali ili zetu ziuzike?

2.Swali la pili sambamba na swali lililopita ,hatuna technology, wala Reseach and deveopment centres ambazo ni nyumba ya innovations na technological capabilities so we depend totally on imported technology and machines. Tutawezaje kupambana katika soko na watu ambao wametuuzia technology? (assume machines tunazo however the fact hatuna) huu sio mpambano wa Tembo na sungura?

3.Swali la tatu historia inaonyesha nchi zote zilizoendelea kiviwanda waliwekeza kwenye rasilimali watu (human capital) tena kwa muda mrefu tu ,itawezekana vipi hii paper policy itekelezelezwe ndani ya miaka mi 5?

4.kwa wanaojua maana hasa ya Globalization is an attemp to make African countries to be primary producers wa raw materials hii ni moja ya objectives zao major political global powers hili halina ubishi utandawazi ni ubepari !hivyo basi kutangaza viwanda kwa nchi za ulaya na East Asia ni kutangaza vita ya masilahi tumejiandaa vipi kukabiliana na hili?tulijifunza kweli kwenye sera ya ISI pilicy ambayo tuli adopt soon after independence ikafa tukajaribu Export promotion industrialization ikafa kibudu ikafuata ujamaa policy then import liberalization na sasa SIDP?

5.Ushirikishwaji wa nchi za kiafrica zingine katika kuunda efficient regional integration and cooperation kwa kuwa na common markets ,free trade areas na ku charge ushuru mkubwa bidhaa za nje ya ukanda ili viwanda vya nyumbani (infantry industry) vikue kama wanavyo propose "Prof viners pure theory of international trade " na kuongeza bargaining power as a regional bloc ukoje na tumehamasishaje?
Au Tanzania as a single countrypeke yake
itazuia soko lake kuuzwa bidhaa kutoka nje ya nchi kama ilivyotokea mwaka 1667 nchi za ulaya walipozuia marekani wasiingie bidhaa za chuma Europe?

6.Aliyetunga sera ya viwanda kupitia chama cha mapinduzi alizitambua changamoto hizo juu?Je kwakutumia tu utashi wa kawaida wa kujua kusoma na kuandika hii sera inatekelezeka ndani ya miaka mitano?????

7.Tukiangalia kwa undani safari ya sera ya technolojia na viwanda na Africa kiujumla zinafana fanana ila moja ya sababu ya kufeli hii sera at first place Tanzania ni kushindwa ku repair machine. kwakua in Africa hamna technological transfer na patent rights za technolojia ni kubwa mno kiasi kwamba wataalamu wengi wana link acquisation ya technolojia na heavy debt burden (mikopo mikubwa) na bado wana control technolojia zao hata baada ya kukukodishia inatia umasikini bara la Africa vipi baba Magufuli umejiandaa nalo vipi hili?
Mbaya zaidi hizi imported technology hatuwezi ku adapt katika mazingira yetu (indegeneous technology )

8.Swali lingine je watunga sera ya viwanda wanajua kuwa maendeleo ya Africa yanaendeshwa na sera za nchi za magharibi?unajua kwanini huu ni muongo wa sita tangua Africa ianze kupata uhuru imeshindwa kuwa na self reliant development (self sustained) licha ya kuwa ni kinara wa resources?

Maswali ni mengi mno,sera ya viwanda kwa sasa hivi ni ya chama hii maana yake nini ikitokea chama kingine kikachukua madaraka upo uwezekano wakaifutilia mbali muda huo lazima tutambue hamna Taifa limekua kiuchumi bila maendeleo ya sayansi ,Techolojia na viwanda katika share yake kwenye GDP,BOP, kutengeneza ajira,kuongeza kipato na kuboresha maisha ya raia wake katika level mbalimbali za kijamii .

Hii hoja inaibua mjadala pia, Je sera ya nchi ikoje katika kukuza maendeleo ya sayansi na Technolijia?Je ilifeli ndo maana ikaanzishwa political party initiation ya viwanda?Huku sio kuanzisha administrative bureaucracy?Yaani tumeanzisha kitu ambacho kilishakuwepo lakini hakukuwa na utekelezaji maana yake tulishafeli?

Wasalam
Mkuu Ayatoulah una Madini sana basi tu kujitenga kwako na Wana Mageuzi kunakufanya ushindwe kuaminika.
Good Stuff
 
Suluhisho la kuwezesha Tanzania ya viwanda lipo; nalo ni hili: serikali iache kuingilia biashara bila sababu za msingi badala yake itengeneze mazingira yatakayowezesha wajasiriamali binafsi kufanya biashara kwa ubunifu. Kikwete alikuwa ameshaanza kufanikiwa ktk hili la kujenga uhuru wa kibiashara (free trade), japo alifeli kwenye kudhibiti ufisadi. Kosa kubwa la Magufuli ni kutaka kujenga massive state controlled economy, tena siyo kwa njia za kibunifu angalau kidogo, kama wanavyofanya China au Urusi, bali kwa ubabe na ujuaji mwingi.
 
Stimulus package muhimu, huwezi kuwa unabana matumizi, mishahara midogo halafu unataka muwekezaji aje hapa, wananchi masikini bidhaa hazitanunulika
hii ni moja ya setbacks ya hiyo dream ya Tanzania ya viwanda

Mtanzania wa kawaida, ambaye anawakilisha kundi la walio wengi, hawezi kununua hata juice ya Azam. Ushindani wa masoko ya nje ni mkubwa mno; sidhani kama tutauweza kwa miongo kadhaa ijayo. Kundi la Watanzania walioweza kununua hata hizo juice linapungua kutokana na serikali kubana matumizi etc; halafu sijui wanadhani hizo bidhaa za Tanzania ya viwanda watamuuzia nani!
 
Je ww umejipangaa vp kama Mtanzaniaa maanaa sisi kz yt ni kulaumu tu na walaa sio kutafutaa ufumbuzi au mawazo yk yataishiaa humuhumu jf
 
jana nimeshindwa kucheki mechi ya Barca sababu ya umeme. ndiyo uwashe viwanda!?. inabidi kuwe na umeme wa uhakika na cheap. habari za Kinyerezi I, II na III zinachosha sana. Gharama za uzalishaji huko China zimepanda. wawekezaji wanatamani kuja Africa lakini wanaogopa gharama za nishati na urasimu wa kijinga.
 
Suluhisho la kuwezesha Tanzania ya viwanda lipo; nalo ni hili: serikali iache kuingilia biashara bila sababu za msingi badala yake itengeneze mazingira yatakayowezesha wajasiriamali binafsi kufanya biashara kwa ubunifu. Kikwete alikuwa ameshaanza kufanikiwa ktk hili la kujenga uhuru wa kibiashara (free trade), japo alifeli kwenye kudhibiti ufisadi. Kosa kubwa la Magufuli ni kutaka kujenga massive state controlled economy, tena siyo kwa njia za kibunifu angalau kidogo, kama wanavyofanya China au Urusi, bali kwa ubabe na ujuaji mwingi.

Natamani hii post yako aione Mhe. Rais. Kwa kifupi Rais wa sasa ame-overate mapungufu ya JK. JK aliweka setup nzuri ya kukuza viwanda na kuchochea uwekezaji na kuufanya uchumi uendeshwe na sekta binafsi, ila alishindwa kwenye kufanya udhibiti tu pamoja na kujitahidi kuunda taasisi nyingi za udhibiti (zikianzia enzi ya Mkapa). Taasisi hizi zilishindwa kusimamiwa na hivyo zimekuwa corrupted, unprofessinalism na hazikuwa bunifu (innovative). Hapa ndipo JP alipotakiwa apasimamie, na for sure angeipeleka nchi pazuri sana. Lakini alipoingiza hizi sera za ubahili, na ku-frustarate watumishi wa umma, wafanyabiashara, kila mwenye hela fisadi au mpiga dili naona kila kitu kitafeli kwa sasa. Vilevile ilibidi aimarishe pia ushirikiano na mataifa makubwa badala ya hawa akina Morocco, Sri Lanka, Vietnam, India. Leo hii mtumishi wa umma anashindwa hata kununua kuku kila Ijumaa. Ukiuliza, unaambiwa hawa wametewa kwa miaka 55, mimi mtetezi wa maskini. Hivi mtumishi wa umma anayepata mshahara wa milioni 2 ana utajiri gani? Kwa hali hii ya kuwafanya watu wawe mashetani ni dhahiri sera ya viwanda imekufa kifo kibaya kuliko kilimo kwanza au BRN. Labda viwanda vya chumvi.
 
hii iikiendelikiendelea itakuwa ni kwa Mungu.Haiwezekani jana Kilimo kwanza,mara BRN...leo yamefukiwa ,yamefukiwa Tsnzania ya Magafuli viwanda na diabomba-! Tulikuwa na mradi wa Katiba umekufa!,Leo NSSF,na wameanza eti kwameankuwekeza viwanda,walifanya lini haya maandalizi?weledi wanao?!
 
Well said hilo la kuwekeza kwenye sayansi na teknolojia pamoja na research ndo has a. Elimu inapaswa kupewa high priority
 
The whole thing was bound to fail before it began. Wapi umeona watu wanafanya mambo bila ya mkakati unaoeleweka.
 
Viwanda vidogo na vya kati inawezekana viwanda vitakavyochochea sekta ya kilimo kama viwanda vya juisi,unga,mchele,maziwa,nyama,nguo.
Viwanda vya kuongeza thamani kwa mazao kama korosho,pamba,Chai, kahawa,katani badala ya kuuza nje mazao tuuze bidhaa ,tusiuze ngozi tuuze bidhaa za ngozi ,tusiuze pamba tuuze vitambaa nk,hivyo vinawezekana.
Hata hivyo changamoto lazima ziwepo na jukumu letu ni kupambana nazo siyo kuzikimbia au kulalamika.
 
Kitulo kuna hoja imetolewa kwamba kabla ya kuuza nje ni lazima kwanza kujenga uwezo wa watanzania kwenye kununua vitu vitakavyozalishwa nchini. Lakini inaonekana kama vile kuna mpango mahsusi wa kupunguza uwezo wa watanzania kwenye kununua.
 
Kitulo kuna hoja imetolewa kwamba kabla ya kuuza nje ni lazima kwanza kujenga uwezo wa watanzania kwenye kununua vitu vitakavyozalishwa nchini. Lakini inaonekana kama vile kuna mpango mahsusi wa kupunguza uwezo wa watanzania kwenye kununua.
Ina maana uchumi wetu ni mbaya kiasi kwamba hatununui maziwa,maziwa ya Tanga fresh,Asas,Dar fresh hayanunuliwi?
Hatununui nguo,viatu?
Uchumi wetu mbaya mpaka tumeacha kununua mafuta yanayotokana na alizeti,mawese?
 
Ina maana uchumi wetu ni mbaya kiasi kwamba hatununui maziwa,maziwa ya Tanga fresh,Asas,Dar fresh hayanunuliwi?
Hatununui nguo,viatu?
Uchumi wetu mbaya mpaka tumeacha kununua mafuta yanayotokana na alizeti,mawese?
Kwa kweli si kwamba hawanunui ila kiwango kimeshuka. Mimi nauza vitu hivyo na naona watu kuna vitu siku hizi hawanunui kama zamani. Mfano mdogo soda.
 
Back
Top Bottom