Recent content by SONGEA

  1. SONGEA

    MAdhehebu ya Tanzania

    Napenda kujua sina lengo zaidi ya kutaka kuyajua
  2. SONGEA

    MAdhehebu ya Tanzania

    Madhehebu ya kikristo
  3. SONGEA

    MAdhehebu ya Tanzania

    Nawezaje kupata list ya madhehebu ya dini yaliyo nchini Tanzanzia???
  4. SONGEA

    Kusikiliza online radioz za tz

    Clouds FM - 88.4 FM Dar es Salaam - Listen Online
  5. SONGEA

    Please help, my PC does not get power!!

    Waungwana nisaidieni. Kompyuta yangu inapozimwa, nikija kuwasha inakuwa kama power haingii, ila baada ya kujaribu mara nyingi inawaka na shughuli zinaendelea. LAkini inapounganishwa kwenye power pamoja na kutowaka, kuna kitaa nyuma ya power supply kinakuwa kinawaka. Inawezekana power supply...
  6. SONGEA

    Laptop yangu inachora msitari kwenye screen

    Habari wakuu, laptop yangu inachora mstari kwenye screen, nimeshindwa nini nifanye ili kuondoa tatiizo hilo, pia sijajua hili linasababishawa na nini. Naomba msaada
  7. SONGEA

    Hongera sana bodi ya mikopo elimu ya juu

    wakati wa mapinduzi ya viwanda, mtu kuwa mkuu wa entity (kule ulaya) ilibidi uwe engineer maana suala ilikuwa ni what can you make. Baada ya kpindi hicho, ilionekana kama mtu unaweza taaluma ya financial management hukamatiki maana ilionekena mtumishi akishapata fedha kazi atakufanyia tu...
  8. SONGEA

    Mimi kabla sijany'ongwa nakunyonga wewe - Balozi Kagasheki

    Huyu Mh. tunamjua utendajiwake, hakuingia leo kwenye baraza. Amekuwa naibu waziri wa Home affairs muda mrefu, lakini kule kwao kutoka wilaya moja haadi nyingine mpaka kusindikizwa na polisi Bml-Muleba, Chato-Bukombe, Ngara-Karagwe, Bukombe-Bml, nk. Leo amebadilika?? Haya ni maneno tu kapewa...
  9. SONGEA

    Tarime wamkataa DC

    Hawa watani zangu nawapenda sana. Wanakuwa na msimamo, wanachosema ndicho wanamaanisha!!
  10. SONGEA

    Wakuu wa wilaya waliotemwa...

    Vocha za minjingu hizo!!
  11. SONGEA

    Huyu Naibu Wazi atamsaidia nani (Mawaziri 2 NW 1)

    Baraza la Mawaziri la sasa, 2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO) Ndugu Samia H. Suluhu, Mb., Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA) Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,[/B] 6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu...
  12. SONGEA

    Hii ndio idadi ya kesi za kifisadi zilokamilka na watuhumiwa kufilisiwa

    Huyu jamaa has joined on 4th April 2012
  13. SONGEA

    Kumewaka Songea: Leo CHADEMA kufanya maandamano kupinga mgao wa umeme.

    Mlio Songea mbona hamtuambii matokeo ya maandamano haya???
  14. SONGEA

    Waziri wa Nishati na Madini

    But you are likely to be suspected!!
Back
Top Bottom