Hongera sana bodi ya mikopo elimu ya juu

BASI HATA WANAO SOMEA UDOCTOR NA UENGINEER WASIPEWE MKOPO ILI WATAO SOMA HIZO COURSES WAWE NI WENYE NIA YA DHATI. UMECHEMSHA KUFIKIRIA, UNGE SEMA WALIO FAULU KWA KIWANGO CHA Juu NA KUOMBA ICT NDO WANGE PEWA MKOPO KIDOGO UNGEKUBALIKA.
kijana, hii ni mada pana sana, ona kwajinsi ambavyo nimejiepusha kuongelea kozi zingine. huko sidhani kama kuna matatizo, unless wadau wa huko wange lalamika.
mimi nime-base kwenye ict tu, hasa kwavile mimi ni mdau, tena mkubwa hasa, lakini pia, shughuli zangu zimekuwa zikiharibiwa na hawa vijana. yaani, kwa mfano una ajiri mtu wa ku-develop database, ukimpa kazi afanye na kumuachia nafasi, mwenzako anakuja na cd yake aliyoi-ban huko chuoni kwao na kui-paste tu hapo! unatarajia ubora hapo? wewe kunguru nini?
 
binafsi nimefarijika sana na maamuzi ya hawa mabwana wakubwa, katika hili la kuto kutoa mikopo katika kozi za ICT (Computer science, IT, INFORMATION SYSTEMS, etc.)
sasa naamini tutapata wataalam mahiri na makini, na si wababaishaji kama ambavyo imezoeleka. yaani, wasomaji wa hizo kozi kwa sasa, watakuwa ni wale tu wenye nia ya dhati hasa, BRAVO magamba

Nadhani upeo wako wa kuelewa mi mdogo sana....na hizo fani nyingine wanaosoma wana nia ya dhati au????
 
namaanisha kuanzia sasa hakutakuwa na wadandia fani, eti kwa sababu ya mkopo tu

ndugu yangu watu hawaendi kusoma eti kwa sababu wanapewa mikopo.....ict ina watu wake...lazima uwe umesoma masomo ya science na maths.na ina competition kubwa sana hasa pale ud.kwa kuwanyima mikopo ni sawa na kusema ss kila mtu akosome ualimu maana ndo mikopo inakotoka.hii haina tofauti na kusema masikini hata awe amefaulu vp au anapenda hiyo fani hawezi kusoma maana hana pesa, au unatangaza ss hv hiyo fani wasome watoto wa matajiri
 
dogo mimi sina cha kukosoa hapo, we nenda tu kwenye ualimu, tunahitaji watu wenye nia ya dhati na uchungu wa kweli, ili waweze kuleta mabadiliko katika hii sekta ambayo umuhimu wake unaanza kuonekana. acha uzembe dogo, yaani unafurahi kuona hata projects ndogondogo zinafanywa na raia wa kigeni?
besides, mimi ni mdau mkuu mno wa ict, na hawa vijana wamekuwa wakiniangusha mno, thanks God to certifications, atleast ukimpata aliyepitia huko kidogo mnapiga mzigo.
acha ujinga JIMBI unafikiri watakao lipa ada ni wanafunzi au baba zao????unasikitisha sana kaka
we una lako jambo....hata kwenye fani nyingine wako wanaombwela sana tu sio ict peke yake.tafuta njia nyingine ya kusolve hilo sio kutesa watanzania....nina wasiwasi una certificate ya pc maintanance ss unaogopa bachelor degree zimekuwa nyingi zinatishia uhai wako kazini
 
kijana, hii ni mada pana sana, ona kwajinsi ambavyo nimejiepusha kuongelea kozi zingine. huko sidhani kama kuna matatizo, unless wadau wa huko wange lalamika.
mimi nime-base kwenye ict tu, hasa kwavile mimi ni mdau, tena mkubwa hasa, lakini pia, shughuli zangu zimekuwa zikiharibiwa na hawa vijana. yaani, kwa mfano una ajiri mtu wa ku-develop database, ukimpa kazi afanye na kumuachia nafasi, mwenzako anakuja na cd yake aliyoi-ban huko chuoni kwao na kui-paste tu hapo! unatarajia ubora hapo? wewe kunguru nini?

UNA HAKI YA KUNIITA KUNGURU KWASABABU NDO UPEO WAKO UNAKOKUPELEKEA HUKO, SUALA LA M2 KUSHINDWA TASKS NI KUTOKANA NA MSINGI WA ELIMU ALIYO PEWA SIDHANI KAMA GRADUATE ALIE FUNDISHWA VIZURI NA KUFAULU KWA KIWANGO KIZURI ANAWEZA SHINDWA KAZI, KAMA TATIZO LIPO BASI LIELEKEZWE KWA WAFUNDISHAJI KUA HAWAFUNDISHI ILI KUTOA WAHITIMU COMPITENT, kajipange tena
 
kijana, hii ni mada pana sana, ona kwajinsi ambavyo nimejiepusha kuongelea kozi zingine. huko sidhani kama kuna matatizo, unless wadau wa huko wange lalamika.
mimi nime-base kwenye ict tu, hasa kwavile mimi ni mdau, tena mkubwa hasa, lakini pia, shughuli zangu zimekuwa zikiharibiwa na hawa vijana. yaani, kwa mfano una ajiri mtu wa ku-develop database, ukimpa kazi afanye na kumuachia nafasi, mwenzako anakuja na cd yake aliyoi-ban huko chuoni kwao na kui-paste tu hapo! unatarajia ubora hapo? wewe kunguru nini?

Nina mashaka ni akili yako, kama huna matatizo ya akili basi utakua umerogwa.
Hujaongelea kozi nyingine wakati umeitaja fani ya kuwaproduce wasomi (education)?
Tumia akili yako vizuri.
 
Mungu aliyekupa wewe unachoringia ndo kawanyima wenzio na kuchukua chake na kukufunga mdomo haitokuwa ngumu pia,ombea maendeleo kwa wenzio ndo na wewe utaendelea,unaogopa ushindani yani wewe utaishia kufa maskini wa kutupwa,huwezi jua atayekufaa baadae,kuwa na fikra pevu au wewe ni agent wa heslb umetumwa unakamilisha kazi yako?
 
Nadhani upeo wako wa kuelewa mi mdogo sana....na hizo fani nyingine wanaosoma wana nia ya dhati au????
nia ya dhati waliionesha tangu walipochagua masomo huko a-level, ambayo yamewawezesha kuchukua hizo kozi. we nenda ualimu tu bana, mbona mbishi kijana?
 
Mungu aliyekupa wewe unachoringia ndo kawanyima wenzio na kuchukua chake na kukufunga mdomo haitokuwa ngumu pia,ombea maendeleo kwa wenzio ndo na wewe utaendelea,unaogopa ushindani yani wewe utaishia kufa maskini wa kutupwa,huwezi jua atayekufaa baadae,kuwa na fikra pevu au wewe ni agent wa heslb umetumwa unakamilisha kazi yako?
kijana, mimi siyo kwamba sitaki mje huku kwenye fani, ambacho napingana nacho ni hawa wataalam uchwara, wanatuaribia kazi na heshima ya "profeshino", sawa sawa?
 
Nina mashaka ni akili yako, kama huna matatizo ya akili basi utakua umerogwa.
Hujaongelea kozi nyingine wakati umeitaja fani ya kuwaproduce wasomi (education)?
Tumia akili yako vizuri.
huko kwenye ualimu ndiko kunako kufaa dogo. we kahangaike na madesa tu basi, hauitajiki umakini wowote ule
 
UNA HAKI YA KUNIITA KUNGURU KWASABABU NDO UPEO WAKO UNAKOKUPELEKEA HUKO, SUALA LA M2 KUSHINDWA TASKS NI KUTOKANA NA MSINGI WA ELIMU ALIYO PEWA SIDHANI KAMA GRADUATE ALIE FUNDISHWA VIZURI NA KUFAULU KWA KIWANGO KIZURI ANAWEZA SHINDWA KAZI, KAMA TATIZO LIPO BASI LIELEKEZWE KWA WAFUNDISHAJI KUA HAWAFUNDISHI ILI KUTOA WAHITIMU COMPITENT, kajipange tena
dogo tatizo nini yarabi? umesikia mimi ndio nagawa mikopo hapa, eeh? kuna vijana wamepiga certificate, na wengine diploma tu, wanakupigia kazi za ict hadi unaduwaa mwenyewe. ninyi wengine imetosha sasa, nendeni na huko (ualimu), mkaendeleze ubabaishaji wenu
 
acha ujinga JIMBI unafikiri watakao lipa ada ni wanafunzi au baba zao????unasikitisha sana kaka
we una lako jambo....hata kwenye fani nyingine wako wanaombwela sana tu sio ict peke yake.tafuta njia nyingine ya kusolve hilo sio kutesa watanzania....nina wasiwasi una certificate ya pc maintanance ss unaogopa bachelor degree zimekuwa nyingi zinatishia uhai wako kazini
dogo,siyo lazima upige bachela kama hauna huo uwezo. kumbuka nimesema penye nia pana njia, unaweza ukatumia "kona ya meli" tu, yaani ukaanzia huko kwenye hizo certificate/ diploma, kama kweli una hiyo nia ya dhati, and then, baadae ukajivuta hadi kwenye hiyo bachela unayoiota. tatizo lenu vijana mna kausemi sikuhizi, eti mnaenda "kuchukua degree" vyuoni. ninyi ndiyo mnatuharibia kazi zetu na majina ya kampuni zetu. acha "ungese" dogo
 
kijana, mimi siyo kwamba sitaki mje huku kwenye fani, ambacho napingana nacho ni hawa wataalam uchwara, wanatuaribia kazi na heshima ya "profeshino", sawa sawa?

wewe ndo uchwara unaeshindwa hata kufanyia watu intervie inaonyesha unachukua watu mtaani tu njoo tukufundishe kazi.....na tukuonyeshe watu wa IT.usiwe mbumbumbu JIMBI ndo maana kuna interview za kujua nani ana uwezo wa kufanyaka kazi nani hana na km unapata vimeo basi ujue ww ni kimeo zaidi...nakuomba uachie fani nenda kajifunze hata ushonaji kaka
 
dogo tatizo nini yarabi? Umesikia mimi ndio nagawa mikopo hapa, eeh? Kuna vijana wamepiga certificate, na wengine diploma tu, wanakupigia kazi za ict hadi unaduwaa mwenyewe. Ninyi wengine imetosha sasa, nendeni na huko (ualimu), mkaendeleze ubabaishaji wenu

so kwa akiliyako unadhani heslb kunyima mkopo wa2 wa ict ndo kutaongeza ufanisi wa wanafunzi??? Pevuka kiakili ndugu yangu
 
binafsi nimefarijika sana na maamuzi ya hawa mabwana wakubwa, katika hili la kuto kutoa mikopo katika kozi za ict (computer science, it, information systems, etc.)
sasa naamini tutapata wataalam mahiri na makini, na si wababaishaji kama ambavyo imezoeleka. Yaani, wasomaji wa hizo kozi kwa sasa, watakuwa ni wale tu wenye nia ya dhati hasa, bravo magamba

wakati wa mapinduzi ya viwanda, mtu kuwa mkuu wa entity (kule ulaya) ilibidi uwe engineer maana suala ilikuwa ni what can you make. Baada ya kpindi hicho, ilionekana kama mtu unaweza taaluma ya financial management hukamatiki maana ilionekena mtumishi akishapata fedha kazi atakufanyia tu.
Kipindi hicho kimepita kikaja kipindi ambacho ili uweze kuwa mtawala mzuri, hr imehitajika sana maana mtu kupata hela tu hakutoshi anakuwa na mambo mengine.
Sasa hivi penda usipende, hata ujifanye kichaa, ni science and technology. Sasa hivi taasisi zetu watu wa ict hata wakiajiliwa kazi zao hawafanyi. Mfano taasisi inatoa tangazo la kaazi/tenda ila kwenye website yao hukuti tanhazo hilo. Maana yake hakuna mtu wa ict au hajui kama taasis yake imetoa tangazo.


Kwa hiyo waeshimwa wanasema non-priority, tutaendelea kubaki nyuma na watakubali some years to coome
 
namaanisha kuanzia sasa hakutakuwa na wadandia fani, eti kwa sababu ya mkopo tu

we jamaa ni moja wa wahitimu waliomaliza na kajipiei ka 2.huna ajira na mpo wengi kitaa so unaona kuwa wenzio wakinyimwa mkopo output itapungua kitaa ili upate ajira acha kuwa mbinafsi ndugu umesahau hata ile laptop yako umenunua kupitia BOOM
 
we jamaa ni moja wa wahitimu waliomaliza na kajipiei ka 2.huna ajira na mpo wengi kitaa so unaona kuwa wenzio wakinyimwa mkopo output itapungua kitaa ili upate ajira acha kuwa mbinafsi ndugu umesahau hata ile laptop yako umenunua kupitia BOOM
hahaha, dogo, mimi nimesoma kitambo sana, na kupata elimu ya uhakika, enzi zile mayunga nkunya(prof) alipokuwa chief academic officer. vile vile nina certifications za kumwaga katika hii fani, ndio sababu sitaki vilaza huku. acha ukameruni dogo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom