SONGEA
Senior Member
- May 29, 2008
- 101
- 8
Waungwana nisaidieni.
Kompyuta yangu inapozimwa, nikija kuwasha inakuwa kama power haingii, ila baada ya kujaribu mara nyingi inawaka na shughuli zinaendelea. LAkini inapounganishwa kwenye power pamoja na kutowaka, kuna kitaa nyuma ya power supply kinakuwa kinawaka.
Inawezekana power supply ndiyo inaamatatizo au la?
Nimeambiwa tatizo lilianza baada ya PC kudondokewa maji
Kompyuta yangu inapozimwa, nikija kuwasha inakuwa kama power haingii, ila baada ya kujaribu mara nyingi inawaka na shughuli zinaendelea. LAkini inapounganishwa kwenye power pamoja na kutowaka, kuna kitaa nyuma ya power supply kinakuwa kinawaka.
Inawezekana power supply ndiyo inaamatatizo au la?
Nimeambiwa tatizo lilianza baada ya PC kudondokewa maji