Kauli kama hizo tumezisikia mara nyingi sana, na hazina maana..ukweli ni kuwa kauli ni jambo moja na kuchukua hatua thabiti kuwakabili wezi wa hii nchi ni hatua nyingine ngumu sana kuchukuliwa hasa na watawala wa CHAMA CHA MAJAMBAZI aka CCM.
Filipo. Huo ni mkwara wa Kagasheki kuvuta pesa. CCM ingekua makini huyu jamaa hasingepitishwa kugombea ubunge,hafai kabisa. Anayebisha atafute aliondoka WIPO kule Geneva Uswizi kwa skandali gani! Ni aibu eti leo ni waziri mwandamizi ktk nchi yetu. Hiki chama ni chaka la wezi!
Naona hutaki kumalizia. Kagasheki aliondolewa kule Uswizi kwa kutuhumiwa kutafuna U$250,000 za WIPO.
Hapa ni mwizi kuwatisha wezi wenzake, na kwa kuwa wanamjua ni mwizi mwenzao sidhanim kama itakuwa ni kazi ngumu kumshirikisha mwenzao.
Filipo. Huo ni mkwara wa Kagasheki kuvuta pesa. CCM ingekua makini huyu jamaa hasingepitishwa kugombea ubunge,hafai kabisa. Anayebisha atafute aliondoka WIPO kule Geneva Uswizi kwa skandali gani! Ni aibu eti leo ni waziri mwandamizi ktk nchi yetu. Hiki chama ni chaka la wezi!
- Maneno mazito sana hayo, yanaonyesha the man is serious, ndio tunachotaka sio kwenda huko kwenye wizara kuuuza meno na kucheka cheka, lazima wafanyakazi wajue sasa kazi, saafi sana mleta mada UBARIKIWE TU!
William.
Waziri wa maliasili utalii amewasimamisha askari 28,waden na mkuu wa intelijensia wa hifadhi ya serengeti kwa kushindwa kutoa taarifa wizarani kuhusu kuuwawa kwa faru ktk hifadhi hiyo.Faru huyo ni miongo mwa faru 5 ambao Jk aliwatoa kwa Zuma,mpaka sasa waliouwawa ni watatu.
Source ;Wapo fm
Kwa hiyo wamebaki faru wangapi? Wakiisha mseme ili tuagize wengine.