Recent content by sobu

  1. sobu

    JamiiForums Tanzania Kama huna ngozi nene usigombee urais!

    Wewe hujiulizi hata swali LA kawaida kwamba kwa nini ukimkosoa raisi unapelekwa kwenda kuhojiwa kwanini?
  2. sobu

    JamiiForums Tanzania Wamekosa hoja wamekuwa viroja!

    Nataka waje waone na kutambua kuwa nguvu ya wengi ndio sauti ya mungu na tz siyo ya kwao peke Yao,
  3. sobu

    JamiiForums Tanzania Wamekosa hoja wamekuwa viroja!

    Ni kweli watasema hivo
  4. sobu

    JamiiForums Tanzania Wamekosa hoja wamekuwa viroja!

    Nisaidie kafunga na kuomba
  5. sobu

    JamiiForums Tanzania Magufuli angekuwa salama zaidi karibu na matajiri kuliko 'watanzania masikini' ambao kimsingi hawakumchagua

    Kwanza mimi naamini kuwa raia yeyote ambae hapendi nchi yake si mzalendo, na kuwa kalibu na matajili si dhambi hata kidogo, nakumbuka Obama kipindi anaingia kwenye uongozi watu WA kwanza kuwaita walikuwa matajili, na siyo kwamba atakacho Sema Tajiri ndo iwe Shelia no,
  6. sobu

    JamiiForums Tanzania Wamekosa hoja wamekuwa viroja!

    Natamani na namuomba mungu anijalie uzima,na ninawaombea Wana CCM wote uzima,ili siku upinzani ikichukua dola wawepo wote, na katiba mpya waisome vzl sijui wataficha nyuso zao wapi, na sijui watakuwa wageni WA Nani maana watalia na kuabika Dunia nzima, japo siku haijulikani lakini itakuwa mda si...
  7. sobu

    JamiiForums Tanzania Wito maalumu kwa waziri wa mambo ya ndani MH DK Mwigulu Nchemba

    Wewe unashindwa nini kwenda mahakamni kushtaki kama una ushaidi, endelea kuwa viva
  8. sobu

    JamiiForums Tanzania Wazayuni wavamia sehemu alipozaliwa Nabii Issa (Yesu) wawapiga mabomu Wakristo (+ Picha, Video)

    Au hujui unacho kisema kaka
  9. sobu

    JamiiForums Tanzania Mashuja 10 wa taifa la Tanzania kwa mwaka 2017

    Hii namba 4 sijaielewa maana npo zanzabr kaka au ww unasikiliza [emoji343] tu hajawahi kufika.
  10. sobu

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda zanzibar kuanzisha biashara mwenye uzoefu wa zanzibar au aliepo kule

    Mimi nipo huku baba, jipange na uwe na mtaji mrefu maana zanzabr watalii n wengi, ubaguzi siyo WA kidini ila n WA Bara tu, ukiwa WA Bara unajulikana tu, n maisha ya zanzabr siyo rahisi n kupambn tu kaka
  11. sobu

    JamiiForums Tanzania Mbele ya CHADEMA hamna fisadi asiyesafishika.

    Mimi napenda Sana chadema lakini sikuizi naona kama tunapotea njia, japo democrasia imeminywa lakini tuwe na msimamo mmoja siyo mtu katoka upande mwingine kwa tuhumu za Rushwa, ufisadi, afu anakuja huku tuna Sema chadema Safi, kama mfisadi no full stop [emoji113]
  12. sobu

    JamiiForums Tanzania Mayor Boniface Jacob umemaliza na Makonda kimyakimya au Tume ya Maadili ndio imeamu kumbeba?

    Kwan elimu ya watu wazima haipo?
  13. sobu

    JamiiForums Tanzania Basi la NEW FORCE-GOLDEN DEER namba T 445 DDT limepata ajali Kitonga

    Polen ndg zngu
  14. sobu

    JamiiForums Tanzania wanufaika wa mikopo watakiwa kuanza kulipa.

    Wakisema wanahali mbya kiuchumi wanachukuliwa hatua?
  15. sobu

    JamiiForums Tanzania Mayor Boniface Jacob umemaliza na Makonda kimyakimya au Tume ya Maadili ndio imeamu kumbeba?

    Ila kwa Sasa akisema anamuweka darsa LA saba kuwa mkuu WA mkoa c anaweza?kama mtu Ana mamlaka ya kusema pensions za wtu wasichukue mpk atoe amli, nchi ya ajabu kwli
Back
Top Bottom