The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,949
Na kuna mwingine tulimpa urais.FACT ni kuwa CCM kila mtu ni Mwiziwanajaribu kuwasafisha lakini hawasafishiki, ndo maana mwingine tulimnyima hata urais.
Na kuna mwingine tulimpa urais.FACT ni kuwa CCM kila mtu ni Mwiziwanajaribu kuwasafisha lakini hawasafishiki, ndo maana mwingine tulimnyima hata urais.
BadoVipi hela za makinikia tumeshalipwa?
kwanini bado?Bado
Huna akili wewe! Umeandika mwenyewe kuwa wanaokimbilia cdm ni mafisadi kisha unauliza swali la kipuuzi kabisa. Kama uliwajudge wanachama wote na chama chao cha cdm kuwa mafisadi swali ulilouliza majibu umeshayatoa.Kwa hiyo chadema huwa mnawasingizia watu ufisadi?
Ile list of shame ilitangazwa na ChadenaHuna akili wewe! Umeandika mwenyewe kuwa wanaokimbilia cdm ni mafisadi kisha unauliza swali la kipuuzi kabisa. Kama uliwajudge wanachama wote na chama chao cha cdm kuwa mafisadi swali ulilouliza majibu umeshayatoa.
Mmetokea wapi nyie mlioishia kufuga mafisi badada ya kwenda shule?
Mkampa nani?wanajaribu kuwasafisha lakini hawasafishiki, ndo maana mwingine tulimnyima hata urais.
Wewe bwege mfukua makaburi mlianzisha mahakama ya mafisadi ya nini? Kama mna guts washtakini mahakamani na sio kwenye media! Yaani nawe unapelekwa kama takataka kwenye maji ya mvua? Uwe unatafakari kabla ya kuja hapa na inaonyesha unajikomba full kupitia ukabila wako. Avatar yako ni shahidi. Chenge unamjua?Ile list of shame ilitangazwa na Chadena
Chenge akihamia chadema wewe ndiye utakayemsafishaWewe bwege mfukua makaburi mlianzisha mahakama ya mafisadi ya nini? Kama mna guts washtakini mahakamani na sio kwenye media! Yaani nawe unapelekwa kama takataka kwenye maji ya mvua? Uwe unatafakari kabla ya kuja hapa na inaonyesha unajikomba full kupitia ukabila wako. Avatar yako ni shahidi. Chenge unamjua?
namna unavyomjibu unaonesha wewe si wa kawaida.Wewe bwege mfukua makaburi mlianzisha mahakama ya mafisadi ya nini? Kama mna guts washtakini mahakamani na sio kwenye media! Yaani nawe unapelekwa kama takataka kwenye maji ya mvua? Uwe unatafakari kabla ya kuja hapa na inaonyesha unajikomba full kupitia ukabila wako. Avatar yako ni shahidi. Chenge unamjua?
Mimi si mwalimu wako.Mkampa nani?
Chadema haina hata ofisi ,wanaiba ruzuku ya chamaWewe mleta maada haujawahi hata siku moja kujiuliza ni kwa nini watu wanaamua kuacha dhambi na kumfuata YESU,Hivi unajua maana ya repent na Salvation??.CHADEMA ni sehemu ambayo watu wanafundishwa UZALENDO na wanakuwa wazalendo kweli.Hii ndiyo maana CCM inanunua wazalendo toka CDM wakidhani wataambukiza uzalendo na huko kwao.