ninavyofahamu mimi zoezi hili limeanza kufanyika mwezi uliopita lakini ingekuwa vizuri mleta mada angakuja na hata takwimu kindo hata kama sample ni ndogo tungepata cha kuongea lakini kwa hili story ni plain sana
Ni kweli marafiki wengi nimemaliza nao pale UDSM nawajua wanakazi zao nzuri kabisa hawajaanza kulipa kwa kisingizio kuwa eti mbona wale waliomaliza kabla ya 1994 hawajalipa. Tena kiasi wanachodaiwa hakifiki hata 1.5 millioni ni aibu. Tatizo tulilonalo na serikali yetu ni mfumo mbovu wa ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.