n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Kuna kikao cha siri kimefanyika usiku huu na wabunge wa CCM wameazimia kumng'oa Waziri wa Afya. Si ajabu kesho tukiona wakimshinikiza kwa nguvu zote aachie ngazi.
Wasiwasi wangu ni kuwa watatoa povu jingi kuonyesha kuwa wana machungu lakini mwisho wa siku yatajirudia yaleyale ya kina Ngeleja.
Nafuatilia kwa karibu hapa Dodoma, nitakujulisheni kinachojiri na pengine kabla ya kucha.
Wasiwasi wangu ni kuwa watatoa povu jingi kuonyesha kuwa wana machungu lakini mwisho wa siku yatajirudia yaleyale ya kina Ngeleja.
Nafuatilia kwa karibu hapa Dodoma, nitakujulisheni kinachojiri na pengine kabla ya kucha.