Mtafiti1
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 263
- 148
Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ana uzito wake kuwepo nchini, Mbowe yuko USA badala ya kushughulikia mgomo wa madaktari kwa upande wa upinzani kapanda ndege na kuondoka. Viongozi wa nchi hii ni waajabu sana wanakimbia matatizo.
Umelewa? Upinzani walishafanya kazi yao Bungeni, walitakamjadala ufanywe, wabunge wakauchuna.Mbowe akibaki nchini, ndiye tuliyempa HAZINA? Mbowe ndio serikali ?