Vyuo vikuu viendane na ajira ili wanaomaliza wapate matunda ya elimu yao...sio mtu anasoma then ajira hakuna anashinda mitaani mpaka aaliyosomra anasahau..
Now institution nyingi zinaajiri certificate na diploma so degree nyingi zinazagaa mtaani maana mashirika hayana pesa za kuwalipa
Ukishaoa milango ya rizk inafunguka mkuu ukiwa na mwanamke mwerev hyo laki tatu mtapanga matumizi na itatosha kabisaa..
Ukiwa single hyo laki tatu kwa mwezi haitosh hapo haujala na bado haujawa na michepuko miwili au mitatu ..ukioa utapunguza zinaa na anasa so hyo hela inatosha kabisaaa
Wewe mleta mada ni k ..sana,unatakiwa kuamini kuwa mtoto yeyote akiboreshewa mazingira anafaulu vizuri na usiamini kwenye ukanda.
Kanda ya Ziwa is the best kwa kila kitu ndugu maisha yenu ya ujanja ujanja yamefikia mwisho,mitihan haivuj tena.
Kama mtoto hachapwi hawez kua na maadili aisee mtoto lazima ajengewe nidham ikishindikana kwa maneno.ajengewe kwa viboko..hongera mkuu wa mkoa tunaitaj maadili kwa wanafunzi
Mimi naona ni kawaida mashulen kuna wanafunz wana vibur na akili mbaya na wamekosa malez mazur kwa wazaz wao na hudharau sana walim hvyo ni sawa alichofanya kama onyo na fundisho..
Tuliosoma miaka ya nyuma tunajua jins viboko vilivyotuweka kwenye mstar na hadi tukafikia malengo.
Naomba adhab ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.