Kuna mapenzi hapa? ushauri jamani nimechanganyikiwa

Kuna mapenzi hapa? ushauri jamani nimechanganyikiwa

km vp funika kombe kiroho swafeee....*** by thn jvunie kuwa mke halal, bt hao wengne ni haramu(mchepuko)
NB: Zingatia uandish wako unapotoa uzi ili uelewe vema
 
Ndo wanaume wa siku hizi hao,Mtoto atakuwa wake kweli anakuzuga tu,maadamu ashakubali kuwa alishakucheat na huyo bidada ujue kuna uwezekano asilimia 90% Mtoto ni wake.Cha msingi vumilia tu mana bado mapema.

Toa neno "Ndio wanaume wa siku hizi" wengine hatuko hivyo jiheshimu
 
Pole sana. Kwa kuwa keshakubali ni kweli alitoka nje na kwa kuwa ushaingia ndani ya ndoa huna budi kusamehe na kuvumilia. Lakini kwenye nafasi ya uamini mtoa usimpe asilimia zote tena keshaweka doa.
Mkuu Leo haujamtag mahonda..kama umeachana nae nisaidie namba zake na mm nijaribu bahati yangu
 
Habari wana Jf.

Mimi ni msichana umri kati ya Miaka 23hadi25 nilibahatika kupata kijana ambaye tulipendana tukawa kwenye mahusiano takribani Miaka miwili hatimaye Mwaka jana December tulifunga Pingu za maisha sasa tunaishi kama Mume na Mke.

Lakini imani yangu imepotea kwake sababu nilipgiwa simu na mwanamke mmoja akiwa analia ananambia kuwa nini nmemfanyia ivo kumbe mume wangu amezaa na huyo binti mtoto ana Miezi mitatu.

Sasa nilipoeka simu loud ili mume wangu asikie alikiri kua ni kweli alitokaga nje eti mara moja ila hana uhakika kama ni mwanae,nishaurini jamani ni kweli itakua sababu mwanae?kwani imani imepotea juu ya mume wangu ukizingatia ndio kwanza tunamwezi tangu tufunge Ndoa.
Mambo ya kawaida hayo katika ndoa, shits happen. Ingawa sio sahihi. Ishu vumilia kuna mambo makubwan sana watu wanayapitia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom