GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,849
“ Wasichana msiolewe na wanaume mnaowazidi umri au mnaolingana, maana wanaume huoa baada ya kuwachoka mama zao, hivyo akirudi nyumbani akakukuta unafanana na mama yake lazima ahame tu ” Bw.Alfred Luvanda - Makamu wa Rais wa shirikisho la vyama vya wachimba madini Tanzania.
Chanzo Habari: ITV TANZANIA
Ngoja sasa leo nijiandae ' Kuburudika ' na ' Comments ' za Watu na kuona jinsi ambavyo wanatirirka na kuserereka na hii Habari. Kwa Sisi ' TEAM NO KUOA HADI KIFO NA KIAMA ' wakiongozwa na Mimi Rais wao GENTAMYCINE hapa Kazi yetu Kubwa ni kuwa Watazamaji tu na tukiwaacha wale wanaohangaika Kuoa na Kuolewa ' Wapambane ' vizuri.
Chanzo Habari: ITV TANZANIA
Ngoja sasa leo nijiandae ' Kuburudika ' na ' Comments ' za Watu na kuona jinsi ambavyo wanatirirka na kuserereka na hii Habari. Kwa Sisi ' TEAM NO KUOA HADI KIFO NA KIAMA ' wakiongozwa na Mimi Rais wao GENTAMYCINE hapa Kazi yetu Kubwa ni kuwa Watazamaji tu na tukiwaacha wale wanaohangaika Kuoa na Kuolewa ' Wapambane ' vizuri.