sidhani kama ni vizuri, watanzania wako wangapi na atawafikia wangapi na kwa mda gani kama akienda kwa mmoja mmoja? Nadhani ni vema anachofanya ili mradi havunji sheria! Utaogopa kuelimisha watu wakati unaona watu wanakufa na kuugua, utaogopa kuwapa ukweli eti kwa sababu unaogopa kampuni? Na...
Hiyo ni kulingana na wewe, na mi nakushauri usome sana kuhusu hawa watu, i wonder mtu kama wewe mwenye access na internet unashindwa kuwafahamu kwa uzuri zaidi hawa watu! Bwana this is 21st century, vitu vipo kwenye internet tena mpaka vitabu vyao na malengo yao! So, buddy, you better read it more.
Wanasaikolojia wameendelea kufanya uchunguzi kuhusu akili na IQ ya mtu. Wamegundua kwamba ili akili iwe faster kwenye kufikiri na kuamua, ni vema kufanya vifuatavyo;
1. Wahi kulala na wahi kuamka. Hii inasaidia kupumzisha akili vema na imethibitika kua watu wanaolala muda mfupi wako kwenye...
Ndiyo, yupo ok bt maybe hukumsikia vizuri, ugali uliokobolewa ndio alisema tusile kwa sababu unakua hauna madini ya kutosha ya iodine ambayo yana speed up kusafiri kwa kasi kwa umeme wa meridian mwilini, pili blueband ni mbaya huo ni ukweli coz ukisoma kwenye cancer ya matiti na hypertension...
Buddy, you are so smooth! Sometime dissapointment and failure can be a blessing in disguise, that a worse thing was about to come but God has taken it away because He knows you don't deserve that! Shukuru Mungu kakuepusha... na nani ajuae, pengine kulikua na hatari kubwa mbeleni?! Zidi...
Ni kweli mdau, pia vitabu vya jiografia havieleweki ni vipi hasa vinatakiwa vitumike, walimu wanachanganya wanafunzi, wanasema msitumie kitabu fulani na wakati huohuo mwalimu huyohuyo anatumia kitabu hicho hicho kutungia maswali na mitihan ya shuleni. Na zaidi ya hayo serikali inatoa syllabus...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.