Nachanganyikiwa Nisaidieni, Nina Matatizo Makubwa Ya Kimapenzi

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Tangu 2008, nimekuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana na tulitarajia kuona, bahati mbaya akatembea na waziri mmoja kijana, nilipogundua ilinibidi niachane naye. Baada ya hapo nikakutana na mdada mwingine ambaye nilikuwa naelekea kuanza uhusiano naye, kwani alinambaia kwamba yuko single. Kilochotokea ni kupigiwa simu kutishiwa maisha na mtu aliyejitambulisha kama boyfriend wa huyo mdada. Sikutaka kujua nini wala nini ilinibidi nikimbie kwani nilithamini sana uhai wangu. Hivi majuzi tu, nimekutana na mdada ambaye nimetokea kumpenda na tumewasiliana vizuri kweli, she has made me very happy just reading from her na kuingiwa na matumaini kwamba nimempata mwenza. Kilichobakia ni mimi na yeye kuzungumzia maisha ya baadae na kujuana vizuri. Hii excitement ilinibidi nimishirikishe shangazi yangu na hata rafiki wa karibu. Kwa bahati mbaya baada ya kumwambia rafiki yangu kumhusu huyu mdada, alistuka na kunyamaza. Alipofika nyumbani alinitumia ujumbe ulionistua kweli akiniambia kwamba mie ni kichaa, mbona nashobokea mademu wake? Sikumwelewa, kesho yake kaja kwangu na kuanza maneno maneno mengi na makali sana, heti sina adabu, kila mara natafuta mademu wake. Wanajamvini, sikufahamu kwamba huyo mdada niliyekutana naye alishawahi kutoka na rafiki yangu. Baada ya kumwelezea, huyu dada alikuja juu na hata kunitukana badala ya kuniuliza the whole stori

Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

Engineer | Ministry of Infrastructure
Currently in China
 
Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

My advise is, weigh out the similarities versus the differences of all these former girls and see if there is a pattern. The issue could be that
that you are using same methods and criterias in selecting your patners over and over again , and yet you expect different results . There are plenty of good women out there you know!
 
Tangu 2008, nimekuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana na tulitarajia kuona, bahati mbaya akatembea na waziri mmoja kijana, nilipogundua ilinibidi niachane naye. Baada ya hapo nikakutana na mdada mwingine ambaye nilikuwa naelekea kuanza uhusiano naye, kwani alinambaia kwamba yuko single. Kilochotokea ni kupigiwa simu kutishiwa maisha na mtu aliyejitambulisha kama boyfriend wa huyo mdada. Sikutaka kujua nini wala nini ilinibidi nikimbie kwani nilithamini sana uhai wangu. Hivi majuzi tu, nimekutana na mdada ambaye nimetokea kumpenda na tumewasiliana vizuri kweli, she has made me very happy just reading from her na kuingiwa na matumaini kwamba nimempata mwenza. Kilichobakia ni mimi na yeye kuzungumzia maisha ya baadae na kujuana vizuri. Hii excitement ilinibidi nimishirikishe shangazi yangu na hata rafiki wa karibu. Kwa bahati mbaya baada ya kumwambia rafiki yangu kumhusu huyu mdada, alistuka na kunyamaza. Alipofika nyumbani alinitumia ujumbe ulionistua kweli akiniambia kwamba mie ni kichaa, mbona nashobokea mademu wake? Sikumwelewa, kesho yake kaja kwangu na kuanza maneno maneno mengi na makali sana, heti sina adabu, kila mara natafuta mademu wake. Wanajamvini, sikufahamu kwamba huyo mdada niliyekutana naye alishawahi kutoka na rafiki yangu. Baada ya kumwelezea, huyu dada alikuja juu na hata kunitukana badala ya kuniuliza the whole stori

Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

Engineer | Ministry of Infrastructure
Currently in China

Poke kaka MmakondechiNtu. Riziki yako ikifika utampata wa kweli. Bora ulivyogundua mapema otherwise ungepelekeshwa.
 
Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

My advise is, weigh out the similarities versus the differences of all these former girls and see if there is a pattern. The issue could be that
that you are using same methods and criterias in selecting your patners over and over again , and yet you expect different results . There are plenty of good women out there you know!

sure dada!
mkuu kama mambo hayajakuendea vizuri kwa hao wasichana haimaanishi ndo mwisho wa dunia.
Ni vyema kutokulazimisha mambo...ila ulimuuliza yule msichana kama kweli ana uhusiano na rafiki yako??
 
pole sana Kiongozi,muombe sana Mungu kama unamuamini bac na yy hatokupa kitu photocopy
 
tehe tehe tehe! Mwambie acone vyaelea! Vna wenyewe hvyo! 2lia na umwombe Mungu, naamin atakuptia mke mwema! Pole kwa yte!
unapenda sana mabint wa clasr fulani ambao kwa bahati mbaya wameshalipiwa. Tafuta wa kawaida ndugu
 
Daahhh
kwa kweli
Hizi safari za mapenzi hizi mmmmhhhbhh

kwanza pole sana
pili naona umemtete msichana wa kwanza
Hakuna bahati mbaya kwenye ku cheat..
Tatu huyo rafiki yako ni player inaekekea
ana wasichana wengi kupita kiasi..

Nway
Ninacho kushauri ni usikate
Tamaa
Some time u have to go out of your comfort
Zone to find your dream girl..
kumtafuta partner wako wa maisha is never a smooth
Ride ...
Kumbuka siku inakuja na hizi zitakuwa hadithi
Kila mtu ana partner wake hapa duniani
We uko safarini kumpata wako..
 
Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

Engineer | Ministry of Infrastructure
Currently in China

Inaonyesha unazama saaana kabla ya kuweka mambo sawa Broda, hao wa3 kilammoja unatwambia ulifika ya kufa mtu. Try that in red, Time will tell, don't be scared!
 
Oh! So sorry my bro but don b Neither confused No discouraged just pray 4 God before anything u do, this is the only way of success throught of our lives BUT MANY PPLE UNDERSTAND NOT ABOUT IT!!!
 
Naamini hutegemei kuowa bikira....you just need a decent wife material..

Sasa naunga mkono kabisa kitendo cha wewe kumuacha yule msichana wa kwanza kama kweli alitembea na mkubwa mmoja...[kama kweli ulikuwa na ushahidi] ...usiache mwanamke kwa ushahidi wa kusikia ....ni lazima ujiridhishe bila shaka ...sio lazima kumshika red handed ..lakini ridhika mwenyewe bila ushawishi wa mtu....maana kwenye fitna za mapenzi mtu akimtaka msichana wako anaweza kukupa maneno ya uwongo pia..

Msichana wa pili ulimuacha kwa kupigwa mkwara...that for a man is too low.....ukiwa na msichana una wajibu wa kumlinda na kujilinda....lets say hata sasa mtu anaweza kukuona na mwanamke akampenda akakupiga mkwara ukatimua?...wanaume kwa asili yetu tumeumbwa kupambana ili kupata mwanamke....hata wanyama pia hugombea mwanamke...hutakiwi tu kukubali kirahisi .......zamani baba zetu walikuwa wakipigana hado mangumi...ili kupata kuowa ..siku hizi tumestaarabika tunapambana kwa kutafuta attractions kwa mwanamke kwa njia mbali mbali..tabia,utanashati...hata pesa kiasi...
Sielewi kwa nini uliamua kumuacha mwanamke kwa kutishiwa kwenye simu tu....ningekuwa mimi ..kwanza ningetaka uhakika wa mwanamke ..kama kweli kuna kitu kama hicho...na iwapo angenihakikishia hakipo ....ananipenda na labda huyo anayenitishia alimtaka akamkataa ..katika hali kama hiyo mwanamume YOU HAVE TO HIT BACK...SHIMBA BIT PIA....WASHIRIKISHE NA RAFIKI ZAKO NA HAKIKISHA UNAMJUWA HUYO MBAYA WAKO NA UMUELEZE WAZI KUWA HUTARUDI NYUMA.....mwisho atakuheshimu na mnaweza kuwa marafiki...

KUNA MEDHALI INASEMA KUWA ...KITU KIZURI KULA NA NDUGU YAKO....I MEAN UNAYE RAFIKI..UMEMPATA MSICHANA NA IT HAPPEN AMESHAM DATE...HAKUNA HAJABU KWENYE HILO.....KWA MARAFIKI WA KWELI HAPA HUONGEA ...UNATAKIWA KUJUWA KAMA BADO WANA MAHUSIANO..,KAMA RAFIKI YAKO KWELI ANAKUPENDA NA HANA MIPANGO ENDELEVU NA HUYO MSICHANA ...HATAKIWI KUKUZIBIA....umuulize tu je anampango gani naye??? kama hana mpango wa kumuowa .na ana wasichana wengine..MUELEZE KUWA WEWE UNAMPANGO wa KUMUOWA......MARAFIKI WA KWELI HUACHIANA WASICHANA AT THE MOMENT LIKE THAT.....i know a lot of my friends ambao tukisoma wote university na kwa miaka yote kwenye group kunakuwa na msichana anatoka na mmoja wetu..lakini akaja kuolewa na mmoja wetu baadaye...tena kwa wastaarab hapo..wanaheshimiana na hakuna ambaye atakumbushia mahusiano ya nyuma......................HUYO RAFIKI YAKO ANATAMAA YA FISI ...MARAFIKI HUACHIANA YA NINI KUNGANGANI MSICHANA AMBAYE HUNA FUTURE NAYE WAKATI RAFIKI YAKO ANAMUHITAJI ZAIDI!
 
Sikumwelewa, kesho yake kaja kwangu na kuanza maneno maneno mengi na makali sana, heti sina adabu, kila mara natafuta mademu wake.
Angalia nilipopiga mstari. Hapa nina wasiwasi na huyo rafiki yako. Inaonesha hata kwa hawa wasichana wawili wa kabla chanzo kilikuwa yeye. Yeye ndiye aliyekupa hiyo stori ya mchumba wako wa kwanza kutembea na waziri na ndiye aliyekupigia simu kukutishia kifo. Baada ya kumweleza dhamiri yako kwa huyu wa tatu ndio akaamua kukukabili moja kwa moja. Chunga sana na huo urafiki wenu.
 
Tangu 2008, nimekuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana na tulitarajia kuona, bahati mbaya akatembea na waziri mmoja kijana, nilipogundua ilinibidi niachane naye. Baada ya hapo nikakutana na mdada mwingine ambaye nilikuwa naelekea kuanza uhusiano naye, kwani alinambaia kwamba yuko single. Kilochotokea ni kupigiwa simu kutishiwa maisha na mtu aliyejitambulisha kama boyfriend wa huyo mdada. Sikutaka kujua nini wala nini ilinibidi nikimbie kwani nilithamini sana uhai wangu. Hivi majuzi tu, nimekutana na mdada ambaye nimetokea kumpenda na tumewasiliana vizuri kweli, she has made me very happy just reading from her na kuingiwa na matumaini kwamba nimempata mwenza. Kilichobakia ni mimi na yeye kuzungumzia maisha ya baadae na kujuana vizuri. Hii excitement ilinibidi nimishirikishe shangazi yangu na hata rafiki wa karibu. Kwa bahati mbaya baada ya kumwambia rafiki yangu kumhusu huyu mdada, alistuka na kunyamaza. Alipofika nyumbani alinitumia ujumbe ulionistua kweli akiniambia kwamba mie ni kichaa, mbona nashobokea mademu wake? Sikumwelewa, kesho yake kaja kwangu na kuanza maneno maneno mengi na makali sana, heti sina adabu, kila mara natafuta mademu wake. Wanajamvini, sikufahamu kwamba huyo mdada niliyekutana naye alishawahi kutoka na rafiki yangu. Baada ya kumwelezea, huyu dada alikuja juu na hata kunitukana badala ya kuniuliza the whole stori

Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

Engineer | Ministry of Infrastructure
Currently in China

Am in Hong Kong where art thou?
 
Mshukuru mungu kwa kila jambo, kusudi la mungu halijatimia bado ndo maana matatizo yanatokea, yote hiyo ni kwa sababu mkeo yupo tu.
 
Wakati tu haujafika utapata wa kufanana nae atakupenda mpaka utashangaa na kujiuliza alikuwa wapi siku zote, usikate tamaa Mungu kamuwekea kila mtu mtu wake maishani
 
Buddy, you are so smooth! Sometime dissapointment and failure can be a blessing in disguise, that a worse thing was about to come but God has taken it away because He knows you don't deserve that! Shukuru Mungu kakuepusha... na nani ajuae, pengine kulikua na hatari kubwa mbeleni?! Zidi kumtumaini na kumuamini Mungu na someday, you will meet the woman of ur dreams, bt hey, take it slowly, be cool!
 
Back
Top Bottom