Swala la ndoa sio maamuzi ya kanisa, Ni Neno linasema hivyo kwa ajili ya tamaa Kila mtu na awe na mke wake au Mume wake( soma 1Wakorintho) tafuta pia ktk Injili Bwana Yesu Alivyozungumzia ndoa.
Kama unataka Mbingu jitahidi kujifunza Neno na Kuliishi maana Mungu Hadhiakiwi.
Kwanza pole sana.
Naelewa sana unachopitia but kuwa honesty na nafsi yako.
Kwa umri huo Baba na Mama wanaweza kabisa kujishughulisha na chochote,bora uwape hata mtaji wa 50,000/= mwingine auze matunda mwingine aangalie fursa zilizopo (watashauri wadau wengine).
Wafanye kazi waweze kujitegemea...
Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Tuiombee Toba na Rehema za Mungu Israel.....sio rahisi Israel kuguswa au kupigwa,Mungu alisema watakapoenda kinyume na Mungu ndipo watapigwa,kwahiyo ili Mungu aingilie kati inabidi tuanze na toba juu ya taifa Teule la Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.