Ijue nguvu ya Self Esteem maishani mwako!

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,654
9,265
Je ulishawahi kutizama series ya prison break kisha ukaanza kujiona Michael Scholfield? Au umewahi kutizama movie yeyote baada ya hapo ukaanza kujiona RAMBO, JACK CHAN au VAN DAME?

Ile hali unayoipata kwa muda kitaalam inaitwa euphoria, na ndio inayoongeza apetite ya kuishi, upendf na kujithamini (self esteem). Hii hali itakufanya utamani kutizama series/movies nyingine tena na tena.

Je, umewahi kusafiri umbali mrefu kwenda kutizama game ya simba/yanga? Timu ikashinda na ukalipuka kwa furaha na kujikuta unatamani kutizama game zinazofuata tena na tena?

Basi hiyo hali inaitwa euphoria ndio inayo boost self esteem.
 
Self esteem ikishuka mpaka chini kabisa mfano 10% utajikuta unakua mkali sana hasira za hovyo hovyo kila mtu unamuona ni mbaya wako pia zikishuka kabisa ikafika 0%unaanza kupata mawazo ya kujiua au kupoteza hamu ya kuishi
 
kama movie zinasaidia acha tu niendelee kuangalia
Screenshot_20240309-170638_Video Player.jpg
 
Je ulishawahi kutizama series ya prison break kisha ukaanza kujiona michael scholfield? Au umewahi kutizama movie yeyote baada ya hapo ukaanza kujiona RAMBO, JACK CHAN au VAN DAME? ile hali unayoipata kwa muda kitaalam inaitwa euphoria, na ndio inayo ongeza apetite ya kuishi, upendf na kujithamini (self esteem).
Hua najiona mimi ndo Gustavo Fring wa breaking bad🤣
Je umewahi kusafiri umbali mrefu kwenda kutizama game ya simba/yanga? Timu hkashinda na ukaripuka kwa furaha na kujikuta unatamani kutizama game zinazofuata tena na tena? Basi hiyo hari inaitwa euphoria ndio inayo boost self esteem.
Hapa sijaelewa
 
Binadamu tuna asili ya kuvichukia vitu vinavyo shusha self esteem, mfano siasa za bongo zimepoteza mvuto sababu chama kinachoshinda kila siku ni kile kile ccm vs chadema ko watu wengi hawapati euphoria.

Ila simba vs yanga zinatupa euphoria zaidi self esteem inapanda zaidi ndio maana klabu ya simba au yanga inawanachama wengi zaidi waliojiandikisha kuliko watu waliojiandikisha kwenye daftari la wapiga kura, imefikia kipindi siasa zimepoteza mvuto zinataka kumezwa na mpira simba vs yanga, siasa zinaufuata mpira.
 
Motivation speaker wote huchota watu akili kwa mtindo euphoria yaani anakuboostia self esteem yako kisha anakuchomoa pesa. Mfano atakusimulia story ya bilget kuwa aliacha chuo leo hii ni bilionea duniani mwisho wa siku na ww unaanza kujiona bilget hapo hapo anakwambia umchangie pesa ya kuchapisha kitabu chake unajikuta unatoa kwa moyo mkunjufu
 
Back
Top Bottom