Hahahaaaa.Kuna kaka mmoja alijidai kumwambia dada mmoja nitakuoa.Walikuwa wana miaka miwili kwenye mahusiamo.Dada akaja na mimbinu yake na kumwambia kaka kuwa yeye ni mjamzito.Kaka bila haya alianza kujiuma meno na kusema nitajuaje kama hiyo mimba ni yangu na maneno mengii ambayo hayana kichwa...
Mimi hata siwalaumu wana mtwara kwa hayo wanayoyafanya.Tuwe wakweli,mtu ukiwa na hasira na kuchoka kunyanyasika kinachofuata ni kuchukua hatua.
Waacheni wana mtwara wachukue hatua mpaka kieleweke.Mkataba walioingia lazima uwekwe wazi na wana mtwara na lindi wajue watafaidika vipi na mkataba huo.
hahaaaaa!kumbe bado kuna watu wanaoa kabila.Kazi kweli kweli.Nimecheka kama unataka kukwepa stress.Nisikufiche mkuu,kama unaishi kwenye sayari tatu, stress zipo tuu, but tunajitahidi kuzipunguza.Mbinguni tuu ndio hamna stress.hata ukiishi ndani ya bahari utapata stress za harufu ya samaki bhana.
Ukiibuka na la jf bila kufanya utafiti wa kujitosheleza, waweza jikuta unaachwa na mpenzi wako.
Kuna jamaa mmoja alijidai anaongeza maujuzi kwenye ndoa yake.akampinduia mkwewe akaanza kuingiza ulimi kwenye mk...u; weeee! alishangaa kibao usoni cha maana.alipomuuliza mkewe kulikoni akamjibu...
Mpende akupendaye, asiyekupenda achana naye.Tena mshukuru Mungu wako huyo amekuonyesha mapemaaa kwamba hakuhitaji.
Siku zote, usikubaliane na moyo,ishirikishe akili yako itafakari mara mbili.
Ngoja nicheke kama Lara 1.HAHAAAAAAAAA.Haloooooooooo!
Habari zikufikie ndugu yangu Apolonary.
Malipo ni hapahapa duniani
Uliwagegeda mi dada 4 halafu ukawatupilia wote mbali
Huyo ni wa kwanza kukutupa na wewe.Subiri wengine watatu utakuwa sasa umefikia wakati wa kuoa...
Walimweusi, achana na huyo kaka yako.Msaidie malaika huyo nawe utapata baraka.omba support kwa mama awe upande wako.
Napenda sana mtu mwenye kusimamia maamuzi yake kama yana msingi.Usitake kuyumbishwa, uliamua mwenyewe kusaidia huyo malaika,just go on.Umetumia busara sana kutowagonganisha yeye...
Mimi nawapenda sana wazazi wangu wote wawili.Lakini mama yangu alikuwa zaidi ya mama.Sikuwahi kuishi na baba but niliwahi kushuhudia mama akilia juu yangu kisa baba amekataa kunisomesha fomu one.Kwa chozi la mama na maneno aliyomtamkia baba alijikuta mwenyewe anakubali kunilipia ada.Zaidi ya...
Sidhani kama plan B ni sahihi katika mahusiano but mtu anapokutokea wakati una mtu mwingine ni vizuri kumweleza ukweli kuwa nina mchumba but pia kumweleza process mliofikia.Kama kashajitambulisha au yupo karibu kwenda kujitambulisha au bado mnasomana alama za nyakati au haeleweki.Hii itakufanya...
Pole sana mkuu.Hili liliwahi mokea rafiki yangu enzi hizo nikiwa chuo.Mimi, yeye na x wake tulikuwa tunaishi dar. X wangu alikuwa anaishi kilimanjaro na kwa bahati rafiki yangu akabahatika kusoma chuo kimoja moshi na x wangu but kabla hajaeda chuoni x wake aliamua kumtolea mahari kabisaaa...
Bi mdada.umri uliofikia wewe nim mtu mzima.Una uamuzi juu ya mwili wako na jinsi ya kuutumia.Eti anakulazimisha!mimi siamini katika hili na kwamwe shida zangu za kidunia haziwezi nifanya nikauzalilisha mwili wangu.Uvivu wako ndio unaokufanya usiweze kutoa maamuzi, eti ananipa kila kitu.Kweli...
Kaaah!Kweli wanaume wanapenda kugegeda.Kwa nini umdanganye mtu.Wewe ungedanganywa ungempata wapi huyo unayemwita wife?Pili ukimkuta nae wife anagegedwa nje utamfukuza.Tulia na umpedaye bhana.Bi mdada achana na huyo kiwembe hana maana, mrudishie pete yake na reject namba yake kwa phone...
Jamani nanyi wanaume mkae mkifikiria kuwa na wanawake nao ni binadamu.Tumerudi kazini saa mbili usiku coz tunakaa mpakani mwa dar.Hiyo saa mbili nina home work ya mtoto natakiwa kukagua eti nimwache baby awe zombi nikakupikie wewe na house girl yupo.Ki ualisia hapo natakiwa kuangalia dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.