MPALESTINA MWEUSI
Senior Member
- Jun 6, 2012
- 140
- 117
Ukiona mwanamke au mwanaume amekubali kutenda tendo la ndoa kabla ya ndoa basi huyo ni mzinifu, na hawezi kuwa mwaminifu kamwe, kama unabisha anza uchunguzi kwa watu wote waliozini kabla ya kuoa au kuoana utaona sio waaminifu. Labda mtu aamue kumrudia mungu kiukweli hapo anaweza badilika lakini hakuna mabadiliko kama mtu hana dini ya kweli, ukioa au kuolewa na mtu asiye na dini ya kivitendo hakuna uaminifu hapo. Sasa sijui wewe sinai unaleta hoja gani hapa kama mliweza kushiriki tendo la ndoa kabla ya ndoa basi jua uaminifu hakuna hapo. Oa tu kama fashion lakini sio kumiliki peke yako