HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,569
Wale jamaa wa "Ze Komedi" wanasema kupenda usipopendwa ni sawa na kusubiri meli airport! Kamwe meli haiwezi kutua airport. Unaweza kutumia njia nyingine kama walivyochangia baadhi ya watu kama kutafuta weak point zake na kucapitalize kwenye hizo, au kujiweka karibu naye, kufake tabia, mwenendo nk. Lakini ukweli ni kuwa, hata kama utampata kwa njia hizo "fake" bado mwenyewe hauwezi kuishi maisha ya kuigiza kwa miaka yote, ipo siku utarudia tabia zako na kujikuta unapigwa chini. Hapo utakuwa umepoteza muda wako na rasilimali zako ulizokuwa umeinvest sehemu ambayo haina return.nimetokea kumpenda mkaka mmoja, ananitesa sana jmn nikitaka kumpigia cm anasema hana mud ya kuongea na cm nikimtext anajb short nifanyeje 4real nampenda toka moyoni kabisa nampenda sana, hajal hisia zangu nisaidien mawazo nifanyeje?
Tafakari!