Nataka Kuoa Nitulie, Msaada Please

Nataka Kuoa Nitulie, Msaada Please

Inaelekea hijajipanga wewe. Yan unataka kuoa huna hata mchumba? Miaka yote ulikua unafanya nini? Ukiambiwa uoe msukuma inamaana ukipata muhaya anaekupenda utampiga chini? Nakushauri uongeze miaka mingine 15 ya kuendelea kujipanga vema.
 
Inaelekea hijajipanga wewe. Yan unataka kuoa huna hata mchimba? Miaka yote ulikua unafanya nini? Ukiambiwa uoe msukuma inamaana ukipata muhaya anaekupenda utampiga chini? Nakushauri uongeze miaka mingine 15 ya kuendelea kujipanga vema.
He! 35+15 = 50, Huyu si atazaa wajukuu?
 
Apatae mke apata kitu chema na kibari machoni mwa Bwana.ckiliza mkuu kuanzia sasa kila unapotaka kulala na uamkapo asubuhi sali kwa dini yako mbali na mengine akupatie mke mwema,kwani ni mpango wake iwe hivyo.pamoja na hayo USITANGULIZE MAPENZI KABLA YA TARATIBU ZA MAISHA ambazo kila mtu ana za kwake.nitakupatia mwongozo A-isimame badala ya ability-thinkink capacity-acceptence kwao na kwenu.B-body structure,tambua mwanamke hubadirika kiumbo kutokana namajukumu yao ikiwamo uzazi.C-character-kama wewe ni mkimya alafu ukapata mcheshi utaboreka na kinyume chake pia.D-dizizi.kwa msisitizo,kunamagonjwa ya kurithi kama sekoseli,hali ya ualibino na mengine unayoyafahamu.E-education background.c kweli una jiwe la chuo chichote ukaoe la tano au la saba.au wewe ni form four mkeo ana masters hapo lazima uwe mwelewa kwelikweli la sivyo kuna kuburuzana na Mungu apite kati.F-family background.wachiyo,wachawi,wanakaa kwenye ndoa,utakuta mama hajaolewa mama mdogo nje,sgangazi mtu walewale,unafikiri mkitifuana watamshauri nini-ACHANA NAE ASIKUTISHE CC MBONA TUNAISHI.na mwisho G-inasimama kwa GOD huyu ndo kila kitu ukimwomba kwa dhati atakupatia,stoo yake ina watu wengi ispokuwa cc ndo tunakosea kumpangia nani awe mkeo au mumeo.TAMBUA KUWA C KILA MWANAUME ANAFAA KUWA MUME WA MTU NA C KILA MWANAMKE ANAFAA KUWA MKE WA MTU.akili kumkichwa.ukitanguliza mapenzi cku ukipata kibovu huwezi ku-let it go coz unampenda na ndo utakuwa msalaba wako.ukikosea kuoa tu umekosea maisha kwa sehemu kubwa.IMEANDIKWA WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.USIOE KWA WASIFU WA NJE OA KWA MWONGIZO WA MUNGU KWA WASIFU WA NDANI.fanya utafiti wengi wa walioolewa ni wakaida tu.mengine tumia akili.

Yes! waoh! hii ndio raha yakujiunga jf binafc najhc nainjoi maisha kwakupata maujanja kama haya cyo cri kaka umeongea jambo ambalo limenijengea ki2 ndani yaakili yangu. NIMEJIFUNZA NASHUKULU KWAUSHAULI WAKO
 
Nakushauri usubiri tu usikimbile kuoa kwasababu yaumri, hongera kwa kuishi kapela kwa muda wote huo. Ndoa ni stress tu na wanawake wote wanafanana matatizo yao ndugu yangu.
 
kama ulishauliwa kuoa mke kutoka mko furani basi ulidanganywa,chamsingi nikupata mwanamke anaye kupenda kwa dhati nawe ukampenda kwa dhati hapo utakuwa umeramba dume.
 
Nakushauri usubiri tu usikimbile kuoa kwasababu yaumri, hongera kwa kuishi kapela kwa muda wote huo. Ndoa ni stress tu na wanawake wote wanafanana matatizo yao ndugu yangu.
Ingekuwa vema kama ungenishauri nisubiri kwa gani na wakati huo niwe nafanyia utafiti wangu wapi ningekuelewa vizuri zaidi mkuu.
 
Mkuu Power G njoo uoe kwetu. Sisi wakurya huwa tunawabeba wanaume mgongoni na kuwakogesha kama watoto wachanga. Nadhani hizo huduma zitakufanya utulie tuli na usiwe na mawazo ya kutoka nje.
Acha kunidanganya wewe binti nikaja kujuta bure. Huko si ndiko nasikia ugomvi ukianza ndani, baba anawahi mkuki na mama anawahi panga!!
 
Kuna mengi ya kujifunza kwa mwanadamu na maisha ya ndoa yana sheria zake, ni kama mchezo wa mpoira huwezi kuingia kucheza eti unapenda soka, ni lazima ujue sheria zote kama sikosei ni 17.NDOA NI TAMU SANA KAMA UKIBAHATIKA KUPATA NUSU YAKO AMBAYO NI YAKO KWELI NA SI LIFT YA MAISHA.KUNA WATU KE NA ME WANAOA AU KUOLEWA ILI WAPATE LIFT YA MAISHA. MFANO WENGINE WANATAKA UWE NA FUNGUO TATU,MOJA YA NUYMBA YA PILI GARI NA YA TATU NI OFISI.KAA CHONJO KIZAZI CHA DOT COM.NA KARIBUNI SANA KWA USHAURI NA maongezi ya kujengana.
 
hahaaaaa!kumbe bado kuna watu wanaoa kabila.Kazi kweli kweli.Nimecheka kama unataka kukwepa stress.Nisikufiche mkuu,kama unaishi kwenye sayari tatu, stress zipo tuu, but tunajitahidi kuzipunguza.Mbinguni tuu ndio hamna stress.hata ukiishi ndani ya bahari utapata stress za harufu ya samaki bhana.
 
Oa unaempenda kila kabila lina kasoro zake. Lkn ukioa unaempenda naamini utaishi nae vizuri . Kuhusu kutulia inategemea wewe mwenyewe ndoa utaichukuliaje. Hauwezi kutulia kisa umeoa bali waweza kutulia ukiamua na kama utamthamini huyo utakaeoa. Halafu angalia usioe kisa umri umeenda bali oa kwasababu unampenda ulie nae. Kumbuka mke mwema mtu hupewa na Bwana.

100%...................................Ablessed
 
kwanza tulia ndio uoe

kama utataka kuo kwanza ndio utulie basi hapo utajikuta umebuggy..........
 
Ha ha haaa! We sema tu unataka kahawa ya aina gani - cappuccino, black & white, Americano au ile ya kwa bibi na babu yenye harufu nzuri asilia?
any...... bora tu iwe na caffeine......lol!
 
power G. UMEPOTEA. CHANGE UR ATITUDE, mke hatafutwi kwa kuangalia mkoa wala kabila......mke mwema hupatikana kwa mungu wewe..sio anapatikana kwenye mkoa fulani.............. tafuta kwa kuangalia mkoa, uibuke na kicheche,.....itakula kwako... ushaur wa haraka haraka.. mwambie mungu akupe alio wako mtakaofanana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom