Recent content by small scale miner tz

  1. S

    Hawa warembo wa chuo ni hatari sana!

    Ww hilo lilikuwa linadanga br kumbe mgeni bdo wapo wengi wa aina hiyo.
  2. S

    Nitawezaje kumpata mpenzi mzungu

    Uckariri kk sio wote wabarid wengine kajoto kapo kumpata mzungu ni rahic kuliko hata mTz kwa mimi wanapenda kwanza mfamiane vizur ujuene kingine jaribu kujuwa anapenda nini apendi nn anachopenda kk pita mule mule hapo ushagonga muombe kukutana naye mara 2 hadi 3 akija ujuwe kashakuelewa...
  3. S

    Sifa za mwanamke msomi na aliyekuzidi kipato katika mahusiano

    Hawana jipya elimu mfukoni piga mashine vizur kk kwisha habar yake mwisho mshahara utakuwa unapokea ww upange matumiz ya nyumbani ila kuwa mwaminifu na uwe smart na ww ishi kama una PhDs itapendeza zaid..
  4. S

    Tuliosoma Kigoma Sekondari Tukutane hapa..

    Shule aliyosoma jiran yangu,ni kweli zawani ilikuwa ikiiitwa livingstone sec? Msaada wakuu
  5. S

    Siku polisi waliponifuma na msichana gesti

    Huo utaratibu kuna baadhi ya wilaya wameanza sasa kukaguwa nouma sana ukiwa umeokata mzigo usioeleweke
  6. S

    Msaada Naweza Pata Dawa Ya Kuondoa Makovu Hayo Natanguliz Shukran Zangu Za Dhat

    Mkuu njoo Ndanda hospital kuna madaktari bingwa kutoka Germany wapo kwa mda wanajuwa sana plastic surgery wahi kabla hawajaondoka
  7. S

    Halmashauri hizi hawajaita watu kwenye usaili?

    Tunduru kiongoz tayar taja jina kuna wadau wapo uko watakucheki kukuchekia ucjali
Back
Top Bottom