Wivu,kuna watu wana wivu hadi naona ni usumbufu sasatabia ipi mbna hujaelezea kwa undani
sasa ukimwacha si atakufa na "Kihoro"?? [emoji23] [emoji23]Habari za mida hii wakuu
Naombeni mnisaidie njia za kumfanya huyu mtu aachane na hii tabia...nimechoka asee
Nimwambie asinipende sana?Kutopenda sn
Hahahahh bado hajaijua JF..nisaidie basi nimfanyaje?sasa ukimwacha si atakufa na "Kihoro"?? [emoji23] [emoji23]
Ameona pm za nani?
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30] mwenye upendo Hana wivu !!!...Habari za mida hii wakuu
Naombeni mnisaidie njia za kumfanya huyu mtu aachane na hii tabia...nimechoka asee
Dawa kiboko ya wivu ni dharau na kiburi nilikuwa na wivu sana kwa felister nilivyogundua kuwa amenidharau na anakiburi kwangu nikaacha wivu taratibu mwisho na penzi likafaHabari za mida hii wakuu
Naombeni mnisaidie njia za kumfanya huyu mtu aachane na hii tabia...nimechoka asee
hii ngoma ngumu aseehHahahahh bado hajaijua JF..nisaidie basi nimfanyaje?
Hatar sanaHabari za mida hii wakuu
Naombeni mnisaidie njia za kumfanya huyu mtu aachane na hii tabia...nimechoka asee
Najitahidi kuwa kama anavyotaka,huwa sichepuki...nampenda,sasa sijui huwa anaona nini haswa hadi anakuwa hivihii ngoma ngumu aseeh
Wivu = kutokuaminiana.
Au unacheza vimechi vingi vya michangani? Elezea ebu kidogo
huyu unayemsema bilashaka namjua..!Dawa kiboko ya wivu ni dharau na kiburi nilikuwa na wivu sana kwa felister nilivyogundua kuwa amenidharau na anakiburi kwangu nikaacha wivu taratibu mwisho na penzi likafa
sahau hayo kwanza.Najitahidi kuwa kama anavyotaka,huwa sichepuki...nampenda,sasa sijui huwa anaona nini haswa hadi anakuwa hivi
Kama wewe huwa unatoa usidhani wote wanatoaItakuwa unampa 0713 ndio maana acha kumpa uone