Hajautendea haki huu uziMalzia na tupicha cha Sarah
Nauliza, polisi wakija kufanya hivyo, most likely ni unakuwa umefanya kosa gani? Yaan, kwa nini wanafanya hivyo.Sijakuelewa,fafanua
Kwangu hakukuwa na kosa ndio maana wakaniacha. Mtihani ni pale unapokuwa umedanganya kusajiri jina kwenye daftari la wageni,au kutokuandika kabisa. Hilo ni kosa la kuficha utambulisho wako,pengine ni jambazi au mhalifu! Tofauti na hapo kama umelala na mke wa mtu,na mwenye mke kaongozana na polisi. Hakuna kosa la kisheria coz mke wa mtu hana lebo,ila ni vitisho vya kuzuru mwili na maliNauliza, polisi wakija kufanya hivyo, most likely ni unakuwa umefanya kosa gani? Yaan, kwa nini wanafanya hivyo.
Hata ningeweka Angela ungeuliza tuKatika majina yote kwa nini umeamua kutumia jina la Sarah?
Nimekuelewa mzee. Yamenikuta mengi ya polisi ila ya nyumba za wageni haijawahi nitokea. Ndo maana nikasema unitoe ushamba.Kwangu hakukuwa na kosa ndio maana wakaniacha. Mtihani ni pale unapokuwa umedanganya kusajiri jina kwenye daftari la wageni,au kutokuandika kabisa. Hilo ni kosa la kuficha utambulisho wako,pengine ni jambazi au mhalifu! Tofauti na hapo kama umelala na mke wa mtu,na mwenye mke kaongozana na polisi. Hakuna kosa la kisheria coz mke wa mtu hana lebo,ila ni vitisho vya kuzuru mwili na mali
Haha, umesababisha arudi kwenye taaluma yake, sio kila academician akakimbilia uwaziri, umefanya la maana, inabidi siku nyingine ukafie kwenye fenc ili akapumzishwe segedance kabisaNipo wew tu ndo sikuoni waziri wangu magembe nimemfukuza kazi

Ilikuwa Julai mwaka huu nikiwa wilaya moja mkoani Shinyanga,wilaya ambayo kwa mwaka huenda mara 3-4 kutokana na shughuli zangu.
Demu niliyekutwa naye gesti ilikuwa ni mara ya pili kulala naye gest mbili tofauti yeye akiwa mwenyeji wa palepale muhudumu wa mgahawa mmoja maarufu wilayani.
Saa saba usiku saa moja baada ya kumaliza kupiga mzigo nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu "Fungua fungua kuna askari".....sauti ya lafudhi ya Kisukuma ya dogo muhudumu wa gesti. Roho ikalipuka paaaaah,nikijua nimefumaniwa
Nikamcheki Sarah(sio jina halisi) akiwa hana habari hana nguo hata moja anapuliziwa na feni,maana alidai joto sana anaomba niwashe feni ipigwe upepo imechemka sana.
Nikamtikisa mara mbili akaamka nikamwambia kuna polisi wanagonga,akataka kukimbilia chooni,nikachanganyikiwa zaidi. Nikamuuliza wewe si ulisema huna bwana hapa? Akajibu ndio,sijui sasa wanataka nini.
Nikamwambia avae chupi ajifunike shuka gubigubi niongee nao.
Nikavaa vesti na kujifunga taulo huku maganda ya kondomu na kondomu zilizotumika yakiwa yamezagaa sakafuni, nikawafungulia askari
Polisi wakaanza kunimaindi kuwachelewesha kwenye kazi zao. Wote walivaa kiraia haikuwa rahisi kujua kama wote ni askari. Walikuwa kama watano hivi,wawili wakazama ndani,watatu wakabaki mlangoni mlango ukiwa wazi kabisa kama tuko nje.
Nilijisikia noma sana,mkuu wenu nadhalilika!!!!!!
Baada ya kujitambulisha,na kuwatazamaza kwa makini nikawafahamu wawili na wao wakanifahamu nimefanya nao kazi Januari mwaka huu. Nikawaomba warudishe mlango ili hao walio ndani tuongee.
Wakaanza kunihoji kwamba wanahitaji kuwatambua wageni wa gesti hiyo na hawaoni jina langu kwenye daftari. Nikiwa bado na wasiwasi nikachukua daftari kuwaonyesha jina langu. Baada ya kuliona mikwara ya polisi ikapungua..........Pumzi zikashuka kumbe hakuna noma yeyote.
Kabla ya kuondoka wakataka kumtambua niliyelala naye. Kwa sababu nilishaanza kuwazoea nikawaambia "Lakini mkuu haya ni mambo binafsi"
Jamaa likanitukana unatoka zako kwenu huko unakuja kuchukua wake zetu,mwambie aamkeeeee!!Hapo sasa nusu nidondoke.
Sarah akafunua uso wake. Polisi mmoja akasema " Ahh kumbe ni wewe.....ndio mmetumia kondomu zote hizi"....Sarah akarudisha sura kwenye shuka,
Ilichukua kama nusu saa hivi askari wakamaliza mahojiano na mimi na kunishukuru kwa ushirikiano,kumbe ilikuwa ni ukaguzi wa kawaida tu.
Kwa kweli siku hiyo nilijuta sana,nikahisi nimefumwa na mke wa mtu. Ingekuweje haki ya nani
Huo utaratibu kuna baadhi ya wilaya wameanza sasa kukaguwa nouma sana ukiwa umeokata mzigo usioelewekeIlikuwa Julai mwaka huu nikiwa wilaya moja mkoani Shinyanga,wilaya ambayo kwa mwaka huenda mara 3-4 kutokana na shughuli zangu.
Demu niliyekutwa naye gesti ilikuwa ni mara ya pili kulala naye gest mbili tofauti yeye akiwa mwenyeji wa palepale muhudumu wa mgahawa mmoja maarufu wilayani.
Saa saba usiku saa moja baada ya kumaliza kupiga mzigo nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu "Fungua fungua kuna askari".....sauti ya lafudhi ya Kisukuma ya dogo muhudumu wa gesti. Roho ikalipuka paaaaah,nikijua nimefumaniwa
Nikamcheki Sarah(sio jina halisi) akiwa hana habari hana nguo hata moja anapuliziwa na feni,maana alidai joto sana anaomba niwashe feni ipigwe upepo imechemka sana.
Nikamtikisa mara mbili akaamka nikamwambia kuna polisi wanagonga,akataka kukimbilia chooni,nikachanganyikiwa zaidi. Nikamuuliza wewe si ulisema huna bwana hapa? Akajibu ndio,sijui sasa wanataka nini.
Nikamwambia avae chupi ajifunike shuka gubigubi niongee nao.
Nikavaa vesti na kujifunga taulo huku maganda ya kondomu na kondomu zilizotumika yakiwa yamezagaa sakafuni, nikawafungulia askari
Polisi wakaanza kunimaindi kuwachelewesha kwenye kazi zao. Wote walivaa kiraia haikuwa rahisi kujua kama wote ni askari. Walikuwa kama watano hivi,wawili wakazama ndani,watatu wakabaki mlangoni mlango ukiwa wazi kabisa kama tuko nje.
Nilijisikia noma sana,mkuu wenu nadhalilika!!!!!!
Baada ya kujitambulisha,na kuwatazamaza kwa makini nikawafahamu wawili na wao wakanifahamu nimefanya nao kazi Januari mwaka huu. Nikawaomba warudishe mlango ili hao walio ndani tuongee.
Wakaanza kunihoji kwamba wanahitaji kuwatambua wageni wa gesti hiyo na hawaoni jina langu kwenye daftari. Nikiwa bado na wasiwasi nikachukua daftari kuwaonyesha jina langu. Baada ya kuliona mikwara ya polisi ikapungua..........Pumzi zikashuka kumbe hakuna noma yeyote.
Kabla ya kuondoka wakataka kumtambua niliyelala naye. Kwa sababu nilishaanza kuwazoea nikawaambia "Lakini mkuu haya ni mambo binafsi"
Jamaa likanitukana unatoka zako kwenu huko unakuja kuchukua wake zetu,mwambie aamkeeeee!!Hapo sasa nusu nidondoke.
Sarah akafunua uso wake. Polisi mmoja akasema " Ahh kumbe ni wewe.....ndio mmetumia kondomu zote hizi"....Sarah akarudisha sura kwenye shuka,
Ilichukua kama nusu saa hivi askari wakamaliza mahojiano na mimi na kunishukuru kwa ushirikiano,kumbe ilikuwa ni ukaguzi wa kawaida tu.
Kwa kweli siku hiyo nilijuta sana,nikahisi nimefumwa na mke wa mtu. Ingekuweje haki ya nani
Kuna wakati tumetok club tupo bwiii,kumbe nyumba kuna polisi wanatufatilia ile kupiga hatua mbili wakapuliza filimbi tusimame nilitokomea nikamwacha mwanamke wangu kesho kwend kumwekea dhamana nikawekwa lock up ilikua tabu sna
hivi mbona wanaume mnapenda kumaaa sana?
Hiyo ndio starehe iliyotolewa bure kwa kila mwanaume ili afaidi baada ya kazihivi mbona wanaume mnapenda kumaaa sana?
Ulichemsha, Sarah angevaa nguo halafu wewe ungetoka uchi tena huku unajiamini. Ungeenda mbali zaidi wakati wanakuhoji ungekuwa unachezea mkono wako wa tembo kama vile uko mwenyewe. Niamini, Mazungumzo yangekuwa mafupi sana.Ilikuwa Julai mwaka huu nikiwa wilaya moja mkoani Shinyanga,wilaya ambayo kwa mwaka huenda mara 3-4 kutokana na shughuli zangu.
Demu niliyekutwa naye gesti ilikuwa ni mara ya pili kulala naye gest mbili tofauti yeye akiwa mwenyeji wa palepale muhudumu wa mgahawa mmoja maarufu wilayani.
Saa saba usiku saa moja baada ya kumaliza kupiga mzigo nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu "Fungua fungua kuna askari".....sauti ya lafudhi ya Kisukuma ya dogo muhudumu wa gesti. Roho ikalipuka paaaaah,nikijua nimefumaniwa
Nikamcheki Sarah(sio jina halisi) akiwa hana habari hana nguo hata moja anapuliziwa na feni,maana alidai joto sana anaomba niwashe feni ipigwe upepo imechemka sana.
Nikamtikisa mara mbili akaamka nikamwambia kuna polisi wanagonga,akataka kukimbilia chooni,nikachanganyikiwa zaidi. Nikamuuliza wewe si ulisema huna bwana hapa? Akajibu ndio,sijui sasa wanataka nini.
Nikamwambia avae chupi ajifunike shuka gubigubi niongee nao.
Nikavaa vesti na kujifunga taulo huku maganda ya kondomu na kondomu zilizotumika yakiwa yamezagaa sakafuni, nikawafungulia askari
Polisi wakaanza kunimaindi kuwachelewesha kwenye kazi zao. Wote walivaa kiraia haikuwa rahisi kujua kama wote ni askari. Walikuwa kama watano hivi,wawili wakazama ndani,watatu wakabaki mlangoni mlango ukiwa wazi kabisa kama tuko nje.
Nilijisikia noma sana,mkuu wenu nadhalilika!!!!!!
Baada ya kujitambulisha,na kuwatazamaza kwa makini nikawafahamu wawili na wao wakanifahamu nimefanya nao kazi Januari mwaka huu. Nikawaomba warudishe mlango ili hao walio ndani tuongee.
Wakaanza kunihoji kwamba wanahitaji kuwatambua wageni wa gesti hiyo na hawaoni jina langu kwenye daftari. Nikiwa bado na wasiwasi nikachukua daftari kuwaonyesha jina langu. Baada ya kuliona mikwara ya polisi ikapungua..........Pumzi zikashuka kumbe hakuna noma yeyote.
Kabla ya kuondoka wakataka kumtambua niliyelala naye. Kwa sababu nilishaanza kuwazoea nikawaambia "Lakini mkuu haya ni mambo binafsi"
Jamaa likanitukana unatoka zako kwenu huko unakuja kuchukua wake zetu,mwambie aamkeeeee!!Hapo sasa nusu nidondoke.
Sarah akafunua uso wake. Polisi mmoja akasema " Ahh kumbe ni wewe.....ndio mmetumia kondomu zote hizi"....Sarah akarudisha sura kwenye shuka,
Ilichukua kama nusu saa hivi askari wakamaliza mahojiano na mimi na kunishukuru kwa ushirikiano,kumbe ilikuwa ni ukaguzi wa kawaida tu.
Kwa kweli siku hiyo nilijuta sana,nikahisi nimefumwa na mke wa mtu. Ingekuweje haki ya nani
Ulitaka atumie Angela?Katika majina yote kwa nini umeamua kutumia jina la Sarah?
hahahaahahahahaahahahahhahaMalzia na tupicha cha Sarah