Habar wana jamvi, sijui kama nipo kwenye jamv sahihi au laaah.
Mimi naomba kuuliza taratbu ukishatkipia kiwanja pesa zote zilizotakiwa hadi kuonyeshwa kiwanja chako inachukua muda gan?
Yapata miez nane sasa tangu nilipie kiwanja, ardhi wilaya ya mvomero hadi sasa akuna taarifa yoyote ya...
Habari,
Najitokeza kutafuta mwanamke ,awe mchumba later awe mke.
-Nina miaka 27
-yeye awe na 27 kurudi nyuma
-awe na elimu kuanzia na diploma
-dini awe muislamu.
Aliye tayari ani pm.
jaman,samahanini sana.
kwa mwenye uzoefu wa bei za godoro la tanfoam 5×6 inchi 10
naomba anijuzee.
maana kabla mwaka haujaisha ,itabidi nijitahidi kupata godoro ya kulalia.
natangulisha shukran zangu za dhati.
Tangu mwaka jana ,nianze kutuma barua posta, sijawahi kuitwa interview hata moja kwa barua ninazo zituma kwa kutumia posta.
Wajuzi wa mambo naombe mnijuze tatizo litakuwa nini apo nakosea kutuma au huwa hazifiki
Mara ya mwisho tulituma mkono kwa mkono na rafiki yangu,yeye kaitwa interview na...
jaman,nawezaje kujifunza hii frameworks inaitwa codeigniter???
nimeangalia videos zake zote bado cjaelewa.
embu mwenye njia rahis kwa jins gan naweza anza anisaidie jaman
natanguliza shukran zangu
Swali langu ni kama lilivyojieleza hapo juu?
Nitajuaje kiasi ninachodaiwa na Loans Board? Maana ni mwaka sasa tangu nimalize elimu ya juu na bado sijajua kiasi ninachodaiwa.
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.