Recent content by skylumu

  1. S

    Salamu kwa Zahera na mashabiki wa Yanga

    umbea umewaponza ombaomba fc.
  2. S

    NJOMBE: Mwanafunzi wa Darasa la Pili auawa

    serikali imeendelea kufeli katika kupambana na wahalifu,watupe ruksa wananchi wenye uchungu tuingie mtaani kuwasaka kininja tu.
  3. S

    Jamani mnaokunywa kila siku ela mnaipata wapi

    weka kwenye mahitaji yako ya kila siku hutokaa ukose pesa ya kilaji daily..
  4. S

    Bodaboda 'za Lugola' zenye tela kuwa hivi...

    maamuzi ya kipuuzi sijawahi ona popote
  5. S

    Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    hebu kumbuka hayo mengine uliyosahau ili tukupe tafsiri halisi ya ndoto yako tusije tafsiri nusu.
  6. S

    Wife ana makusudi sana aisee...!!!

    acha tamaa za fisi!!
  7. S

    Watanzania tupo taratibu sana kwenye utoaji wa huduma! Tubadilike

    sure, kuna shida sana katika uharaka wa utoaji huduma tz, uvivu,uzembe,kujisikia, maringo na kujiona wanasahau kuwa hizo ni dhamana tu wakizopewa.
  8. S

    Watu wazito wananikera

    kuna mengi yanayochangia mfano malezi, mazingira, nature ya mtu au hata uwezo wa ubongo kufikiri kwa haraka, ndo maana hata darasani kulikuwa na slow learners na wale waelewa haraka hivyo katika kufanya approach ya kitu tupo tofauti mkuu.
  9. S

    Hongereni sana Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwa na Msemaji Dkt. Hassan Abbas

    mbaya sana kuwa kiongozi halafu bado unaendeshwa kama toy la kichina,serikali ya awamu ya tano ina sifa kuu ya kutoruhusu watendaji wake kuwa huru, wanaongoza kwa maelekezo tu ndio shida.
Back
Top Bottom