kuna mengi yanayochangia mfano malezi, mazingira, nature ya mtu au hata uwezo wa ubongo kufikiri kwa haraka, ndo maana hata darasani kulikuwa na slow learners na wale waelewa haraka hivyo katika kufanya approach ya kitu tupo tofauti mkuu.
mbaya sana kuwa kiongozi halafu bado unaendeshwa kama toy la kichina,serikali ya awamu ya tano ina sifa kuu ya kutoruhusu watendaji wake kuwa huru, wanaongoza kwa maelekezo tu ndio shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.