Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
You don't know what you are missingmimi ni mzito kwenye mapenzi yaani sijui kupenda kabisa
You don't know what you are missingmimi ni mzito kwenye mapenzi yaani sijui kupenda kabisa
Haha umenikumbusha jeshini huo msemo mapuuza,vp kwani mshkaji ni mzito au?ahahaahh !mapuuza !hata kunyanyua kamzigo ka kilo 20 anakuambia ah mie siwez bwana !hv huwa ni kamtindio au?
hahaha, umeniwahi mkuuAggrrr... Mi haraka nikajua unazungumzia uzito kitandani .... gadem!
Kaupungufu tu dawa ni kutokuwa Karibu nae muda mwingi la sivyo utaishia kugombana
Wanakera, unakuta vitu vya msingi vinatakiwa kufanyika mtu anajivuuuuta kama mlenda....
Natamani vijana wangu niwasomeshe shule za jeshi
Pole jamani najua unapenda mtu wa aje, pole sana malezi yamechangia lknhahaha mie nadhan hii ndo dawa !yaan jaman!arghhhhh !jitu zitooo shamba haliwez ht kunyanyua mpira wa maji yaan uwiiiiiiiiiii !nina jiran yangu shogaa weekend jaman baba yupo busy uwii anafagia had uwanja, anakatia fence, anaosha mbwa wake ,anaosha gar hapo nje!saa10 unamuona anajinywea pombe kwenye garden yake !
mweee mbiti mie jaman !NINI HIKI??
upo sawa nina madhaifu yangu !ila ni too much !najua hujanielewa!yaan ndo uwe mzito kwa kila kitu jaman !we kila kitu hujiwezKila mtu ana udhaifu wake inaezekana ukawa mshapu ila unakoroma kitandani,unanuka kwapa au mdomo
Hujui kupika,hujui matumizi mazuri ya pesa
Usimchukie mtu kwa jinsi alivyo yawezekana wakuzungukao wanakuvumilia kwa mengi sana.kila mtu kaumbwa tofauti sana na ana sababu kwanini upo nae karibu.
Tonsils mi nipe mabarafuI wish my kids wawe km mie jaman ! mie hata nikiumwa jaman bado nipo active !juzi alh mume alishikwa matonsils !amelala had jtat hii hoiiiiii !eti hajiwez jaman !yaan namanisha kulala ziii hajiwez kitu uwii nilichukia jaman !mie tonsilis natupia azuma naendlea na kazi !sasa yeye ! we nadhan umenielewa !i hate jaman





Bora awe mzito wa kutokufanya kazi, kuna wengine ni wazito mpaka kufikiri unajiuliza hivi huyu mtu anatatizo kwenye ubongo au shida ni nini?
Ukimuuliza jambo lenye kuhitaji ufafanuzi tena ni jambo muhimu na yeye anakuuliza kwani wewe unaonaje, yaan wewe ndio uumize kichwa ila sio yeye. Utamuacha baada ya muda Ukimuuliza tena vipi lile jambo tulilokuwa tukizungumza umeshalipatia ufumbuzi? Atakujibu bado Ukimuuliza kwani unawaza nini atakujibu hakuna.
Ndio utambue binadam tupo tofauti.
Hayo madude nilikuwa nayachukulia Poa shosti huwezi amini yalinifanya nilazwe siku tatu na mpk sasa nimebabuka midomo ajili ya homa yake madude hayoI wish my kids wawe km mie jaman ! mie hata nikiumwa jaman bado nipo active !juzi alh mume alishikwa matonsils !amelala had jtat hii hoiiiiii !eti hajiwez jaman !yaan namanisha kulala ziii hajiwez kitu uwii nilichukia jaman !mie tonsilis natupia azuma naendlea na kazi !sasa yeye ! we nadhan umenielewa !i hate jaman