Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Hiyo budget ya 25 elfu nenda Pub Alberto kakeshe na Bombadia/Trump 2 mpaka asubuhi.
Kwa hiyo bajeti we tupa chupa stend mahabusu za moshi nzuri sanaHabari wanajamvi,nimepata ziara ya kikazi kwenda Moshi mjini.
Naomba kufahamishwa sehemu nzuri kwa ajili ya malazi(budget tsh 25-50),pia sehemu nzuri kwa kujirusha (night life),pia sehemu nzuri kwa vyakula.
Ahsanteni.
Pitia pale pub Alberto mkuu utapata wazungu pori. Kesho nitakujoin jioni mkuuHebu nitonye mkuu! Mimi pia niko Moshi leo na kesho,sehemu ya kulala na kula ipo tayari,ila msitu ndo bado sijaujua,nnataka nichekicheki wanyama hai! Wapo wapi hapo town?
Poa mkuu! NtakuwepoPitia pale pub Alberto mkuu utapata wazungu pori. Kesho nitakujoin jioni mkuu
Ila huduma nyingi hazipatIkani,bora hata arushaMji wa Moshi uko poa sana!
kwani jamaa hataki wanyama?Uhuru Hostel panakufaa! Ni sehem tulivu sana