Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Tukio hilo la kusikitisha limetokea kwenye kijiji cha Lupembe Mkoani humo
Matukio ya mauaji ya Watoto yameibuka Mkoani humo kwa siku za hivi Karibuni ambapo Serikali inaendelea na juhudi za kupambana na waharifu wao
Aidha, matukio haya yamekuwa yakihusishwa na imani za kishirikna
Matukio ya mauaji ya Watoto yameibuka Mkoani humo kwa siku za hivi Karibuni ambapo Serikali inaendelea na juhudi za kupambana na waharifu wao
Aidha, matukio haya yamekuwa yakihusishwa na imani za kishirikna