Recent content by skull

  1. skull

    Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

    Rais akiwa mgonjwa au akifariki Line of succession iko ivi -Vice President -Prime Minister Katiba imekuwa revised 2015 na kuwatoa hao wakuu wa mihimili mingine kuhold iyo position when The post became vacant
  2. skull

    The next Tanzania president 2025 should be Kassim Majaliwa

    Sasa tutakuwa na first ladies wangapi?
  3. skull

    Polisi kitengo cha loss report Arusha hili limekaaje?

    Inategemea na kitu ulichopoteza mzee kama ni Simcards, Wallets au Card za Bank haina haja ya kwenda Huko kituoni una print tu baada ya kulipia iyo 500, Naongea ivi mana nimefanya iyo process jana
  4. skull

    Usimkopeshe hela mtu

    Mimi hata iwe 20k Namuambia mtu kalete kitu chenye value ýa 20K iwe Vyombo au Radio weka apo afu sema unalipa lini hata awe ndugu nafanya ivo siku alizosema zikipita nampa wiki moja ya ziada ikisha hio bado hajalipa nauza kwa hasara kitu chake
  5. skull

    Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

    Othamna hapana aisee nj Radical sana
  6. skull

    Pepa za Technician Tanesco utumishi

    Nimekuekewa Mkuu, Nataka za Electrical
  7. skull

    Pepa za Technician Tanesco utumishi

    Wanauliza zaidi wapi
  8. skull

    Nawezaje kutumia Solar Tv katika umeme wa Tanesco?

    Nunua adapter ya voltage 12 output zina range 15k mpaka 20k kutegemea na quality ya adapter, Technically Kama unataka kuchange AC to DC tunatumia Rectifier na sio inverter. Ila Panel zinashusha DC na battery pia huwa charged na DC ivo utahitaji inverter as if una loads za AC
  9. skull

    Pepa za Technician Tanesco utumishi

    Wakuu mwenye past paper za utumishi position ya Technician tanesco naomba aniweke apa
  10. skull

    Kujitolea kufanya kazi siku za wikiendi

    Mkuu hilo ni jina tu sidhani kama linashida
  11. skull

    Kujitolea kufanya kazi siku za wikiendi

    naomba kazi, Hapana mkuu nilimaanisha kama itapatikana sehemu ya internship na wanatoa chochote naweza kwenda na nikawa nafanya full time.
  12. skull

    Natafuta offices au sites za Yapi Merkezi wanazopokea CV manual

    Mkuu na mimi ni Electrical Technician ukipata feedback unijibu
  13. skull

    Kujitolea kufanya kazi siku za wikiendi

    Habari wakuu, mimi ni mhitimu wa Chuo katika ngazi ya Diploma nikiwa nimesomea Electrical engineering Arusha Technical College. Nilikuwa naomba nafasi ya kujitolea katika viwanda au mashirika ya umma kwa nyakati za wikiendi, yaani jumamosi na jumapili ili niongeze ujuzi zaidi siku za katikati...
  14. skull

    Natafuta smartphone

    Nina 120k + simu hii Double line ya nokia unanipa simu gani? nipo Arusha
Back
Top Bottom