Una ushahidi juu ya hilo la mwisho?
Cyber crime utafutaji simu ni dili zuri sana kwao. Huzifuatilia simu na pindi wakizipata humbandika mtu kesi ya mauaji. Kujinasua hapo ni mamlioni ya shilingi. Mpotezaji hudaiwa, anaepatikana nayo ni balaa.marxlups said:
Huko Polisi mambo mengi wanaanzisha siyo kwasababu ya kusaidia wananchi ila ni kutengeneza ulaji kwa polisi, jiulize kwanini simu zinaibiwa kila siku hazikamatwi na kitengo cha cybercrime kipo? Wanafanya kazi gani?
Kule Morogoro askari mmoja alianza kumtaka binti kimapenzi baada ya kumwomba amsaidie kutrack simu yake, binti alivyoona yamekuwa hayo aka surrender simu
Kuna mtu alisema simu zinazoibiwa askari wanazifuatilia wanazichukua wao
Ingia website ya police .www.policetz.com kilaa kitu kipo hapo,unaandika report yako then upewa control number chap kwa mpesa au Tigo pesa,unamprint karatasi then unaenda polisi waakiki!kuna dawati police unawapa number ya muamalaa wanakungongea mihuri Ina kuwa umemaliza.au stationary nyingi siku hizi wanahizo hudamaNaona kuna wengine wanasema iko online hebu tuelekezane wakuu jinsi ya kuipata.
mkuu punguza chai
Siyo polisi yeyote, ni mtu yeyote anayewajibika kwa vitu vidogo vidogo kama loss reportHivi huwa kina kitengo cha loss report, au kitu hiki huwa kinafanywa na polisi yoyote anayehusika kama ilivyo katika kukamata wahalifu?
Mtandao ukiwa hovyo utaenda kwa ocs lkn kawaida ukitumia nida hakuna sababu ya kwenda polisi. Kama hujui omba ufundishwe wewe. Leo nimejaza loss report zaidi ya 10 kwa nida, sijaenda kituonisio kweli haipiti ni mpaka uende polisi baada ya kulipia ile control number kule ukimaliza ndio utaweza kuiona online na kuidownload ..
Ukitumia nida, unalipia hela ya serikali 500 tu. Huna haja ya kwenda kituonihuwezi kuprint mpaka uilipie na uende kituoni kuiverify na kuipitisha ndio utaweza ku view na kuishusha
Mkuu jihudumie kuepuka zengwe lolote. Unaogopa nini kujaribu?sema jambo la ajabu ambalo lipo na nahisi ni mwanya mkubwa wa rushwa ni kuombwa vitu ambavyo huna.. nitatoa mfano wa kilichonikuta mimi mpaka nikastaajabu..
nilipoteza bag ambalo ndani yake kulikuwa na simu pamoja na vitambulisho vingine ( leseni,kadi za bank,kura na uraia na cha kazi). mtandaoni nikajaza loss report kama zilivyohitajika kila kimoja hapo unaweka report yake maana unavifatilia sehemu tofauti toafuti hivyo must uende na copy yake (loss report yake).
maajabu ni kuwa nilipokwenda pale kituo ........ na ni kikubwa mno kile kituo kina power zote..
1..kwa laini nikaombwa zile serial number,au vibati vile vya line (ukinunua line inakuwa kwa kiplastiki flani, (jiulize uratoa wapi laini ina almost 7years)
2. kwa vitambulisho vingine
....kadi za bank..nikaambiwa nikaombe barua za bank kuwa mepoteza ndio nirudi kituoni,
..uraia na leseni.. nikaambiwa nilete copy zake.. hivi mtu vitambulisho mepoteza copy zake natoa wapi kwa wakati huo???
.... na cha kazi ..nifate barua ya muajiri wangu nirud nayo..
kimazingira hayo je ni mepesi kwli?? ..pia kuna muda maalumu wa loss report.. japo online ni muda wote kuverify ndio kwa muda maalumu ila bado changamoto
Ha ha ha loss report ya simu? Halafu unaenda kwa nani akupe simu hiyo?Line za sim, wallet na mali nyingine sawa utapata loss report bila kwenda polisi, lakini ikiwa iliyopotea ni simu ya mkononi, loss report yake huipati online aisee inakataa
Inawezekana. Loss report hata usipojaza details kwa usahihi, utaipata tu sema haitokusaidia maana haielewekiLoss report ya kupotea kwa simu? Yaani ulijaza IMEI na ukapata loss report online moja kwa moja bila kwenda polisi?
Hongera kwa kuuliza na kujijibu mwenyewe mkuu. Inaitwa taarifa ya upotevu, namna gani utaitumia hiyo taarifa ni juu yako mwenyewe.Ha ha ha loss report ya simu? Halafu unaenda kwa nani akupe simu hiyo?
Mali zilizopotea ambazo unahitaji kuzirejesha, utadaiwa loss report. Ipate kwa kujihudumia kupitia Nyumbani
Mali ambazo hakuna mamlaka ya kukurejeshea, unajaza loss report kwa tahadhari. Isitumike ukawajibika wewe. Vyote unapata kupitia link hiyo.
Kama unataka kuitafta mali mfano simu, utalazimika kufungua kesi ili sasa ipate, rb, ir na mpelelezaji. Hapa kuna mchakato mrefu, makampuni ya simu ushirikiano wao ni mbovu kwa madai ya kulinda siri za wateja.
Imeandikwa kipotipoti mapoti wenyewe ndiyo haoInawezekana. Loss report hata usipojaza details kwa usahihi, utaipata tu sema haitokusaidia maana haieleweki
Mtu asipojua kitu ndo anakuwa na matatizo?Wewe ndiyo unamatatizo. Siku hizi loss report inapatikana online na huna sababu ya kwenda kuomba wakupe loss report.
Infact wewe ndiyo ulitakiwa uende na loss report central maana ungeweza kuioatabhata mtaani kwa kufuta procedure zao mtandaoni. Pale central lazima wangekuzungusha maana nao ninwanadamu na huu mfumo umewekwa ili watu wasiende pale. Kitenda cha kwenda pale ni kuwasababisha hata wawaombe rushwa kwa kitu amacho hata kwa kuazima simu ya jamaa yako ungefanumikisha mwenyewe.
Inategemea na kitu ulichopoteza mzee kama ni Simcards, Wallets au Card za Bank haina haja ya kwenda Huko kituoni una print tu baada ya kulipia iyo 500, Naongea ivi mana nimefanya iyo process janahuwezi kuprint mpaka uilipie na uende kituoni kuiverify na kuipitisha ndio utaweza ku view na kuishusha
Polis lazima uende ili ku verify bila hivyo huwezi ipata utaambiwa tu not appro