skull
Senior Member
- Aug 18, 2016
- 157
- 104
Habari wakuu, mimi ni mhitimu wa Chuo katika ngazi ya Diploma nikiwa nimesomea Electrical engineering Arusha Technical College.
Nilikuwa naomba nafasi ya kujitolea katika viwanda au mashirika ya umma kwa nyakati za wikiendi, yaani jumamosi na jumapili ili niongeze ujuzi zaidi siku za katikati nakuwa busy kuna sehemu kidogo nina kibarua kinachonipa mkate wa siku.
Ninapatikana Arusha ila pia nipo tayari kufanya kazi popote hata nje ya Arusha
Focus ya sehemu ninazotaka zaidi kujitolea:
- Instrumentation
- Automation
- Control engineering
- Scada & PlC
Nilikuwa naomba nafasi ya kujitolea katika viwanda au mashirika ya umma kwa nyakati za wikiendi, yaani jumamosi na jumapili ili niongeze ujuzi zaidi siku za katikati nakuwa busy kuna sehemu kidogo nina kibarua kinachonipa mkate wa siku.
Ninapatikana Arusha ila pia nipo tayari kufanya kazi popote hata nje ya Arusha
Focus ya sehemu ninazotaka zaidi kujitolea:
- Instrumentation
- Automation
- Control engineering
- Scada & PlC