NAFASI ZA KAZI YA ULINZI (NAFASI 30)
KITUO CHA KAZI: DAR ES SALAAM/DODOMA/ARUSHA
SIFA ZA MUOMBAJI
Awe Mtanzania.
Awe na Umri zaidi ya miaka 18.
Awe amepitia mafunzo ya Ulinzi, JKT, Mgambo.
Awe na Urefu wa Futi 6 na kuendelea.
Awe tayari kufanya kazi Mahali Popote Tanzania na hasiwe na historia...
Wengi wanakosea hapo, baada ya kutafuta pesa, wewe unatafuta kazi (ajira), sio kosa lako hata mimi nilifundishwa hivyo, kutafuta kazi lakini week mbili baada ya kupata mshahara una anza kupiga mizinga.
My opinion kwenye hili, ni kwamba bado tupo kwenye right direction, kufikia huo uchumi wa kati USD (3000).
Pale alipo tuacha JK uchumi wetu ulikuwa unaelekea kuwa stagnat.
1. UMEME
Tusingeweza kuendelea tena kiuchumi, kwa umeme ule wa majenereta, umeme wa mgao, na umeme ulio kuwa haujafika...
Tanzania tuna matatizo sana, Leo siku ya kazi mtu unawahi mahakamani, kusikiliza kesi ambayo uwepo wako wewe mahakamani, hautabadili maamuzi yoyote ya kesi hiyo.
Kesho unalalamika kwamba vyuma vimekaza.
We need to change
Mkuu wewe nikuwajua tu ma billionea lakini wewe mwenyewe huwi billionea, sasa sijui ukikutanao unaomba tu kupiga nao picha, sio kujifunza kutoka kwao mawazo na mikakati wanayo tumia, kuwa mabilionea, Amka brother hawo mabilionea baba zao walikuwa wa kulima tu wa kawaida wamebigana wao na kuwa...
zzk kuwa kiongozi wa chama, i think si sahihi, wiki mbili baada ya kujiunga na chama unakuwa kiongozi mkubwa wa chama.
Nafikiri wale walioshinda uwenye viti wa vijiji ndio walitakiwa wapewe nafasi, watumie mipango mikakati walio tumia kuwashawishi wananchi na kuwapa kula, kupitia chama kichanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.