kadyuwegeyeson
Member
- Jul 19, 2018
- 35
- 48
Habari wadau
Ninataka kwenda kufungua madai NSSF ya kuachishwa kazi.
Je, inatakiwa nienda na nini ambayo vinaambatanishwa na fmu yangu ya madai maana ninafunga safari kwenda Ofisi za NSSF.
Ninataka kwenda kufungua madai NSSF ya kuachishwa kazi.
Je, inatakiwa nienda na nini ambayo vinaambatanishwa na fmu yangu ya madai maana ninafunga safari kwenda Ofisi za NSSF.