Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,480
- 5,506
Ndugu wananchi,
Kama taifa lazima tuwe na dira na Mipango. Marehemu Mzee Mkapa alitamani kwamba ikifika mwaka 2020 ba Pato la Mtanzania liwe limefika USD 3000. Niseme tu kwa wale ambao sio wafuatiliaji wa Mambo kwa sasa GDP per Capita ni USD 1080 Ila tukitumia mfumo wa PPP (Purchasing Power Parity) basi GDP Per Capita imeshafika USD 3000+
Sasa ili kuweka sawa kumbukumbu ni lazima tujue tofauti ya GDP Per capita na GDP per Capita(PPP), hili ninakupa wewe msomaji kazi ya kutafuta na kuweka katika comment hapa chini. Yatosha kusema kwamba GDP (PPP) inaonesha uhalisia wa hali ya uchumi kuliko nominal GDP ambayo ndo hasa tumeambiwa ni 1080.
Sasa nirudi kwenye hoja yangu ya msingi kuhusu ni nini tufanye ili tuweze kufikia Nominal GDP ya USD 3000 kwa mwaka 2025.
Kwanza kabisa lazima tuanze kufanya zoning (yaani tufanya mipango yetu kwa msingi wa Kikanda) ambapo tunaweza kugawa taifa letu katika kanda 7 ambapo katika kila kanda tunakuwa mega city moja -Satelite Cities Tutakazojenga
Katika kila zone ziweka kama ifuatavyo:
1. Eastern Zone tuwe na Mega City Tabora
2. Southern Highland Mega City iwe Mbeya
3. Lake Zone Mega City Iwe Mwanza
4. Northen Zone iwe Arusha
5. Eastern Zone iwe Pwani
6. Southern Zone iwe Lindi
7. Central Zone iwe Dodoma
Hizi mega cities zizungukwe na other cities ambazo zinatakiwa ziwe katika radius ya km 250-350 kila upande. Kila mega city iwe na population isiopungua watu milioni 3 na wasiozidi milioni 10.
Lite cities ziwe na agro production zone, industrial production zone, tourism zones, technology zones, educational zones(yaani maeneo yatengwe maalumu kwa ajili ya shughuli za kilima, viwanda, utalii, technology na elimu)
Haya Maeneo yawe self sustaining kwa maana ya kwamba uzalishaji wowote unaofanyika katika maeneo haya ukidhi mahitaji ya eneo husika na kuzidi.
Utengenezaji wa hizi programs utumie mfumo wa PPP (Public Private Partnership) ambapo baada ya kuundwa kwa hizi zones basi zipewe mamlaka ya kuraise funds katika bonds market local na international ili ku-finance miradi hii mikubwa.
Najua kuna ambao nitawaacha solemba kwenye huu mjadala, ila najua pia kuna ambao wataelewa. Kama wewe ni Mtunga sera hebu angalia kama huu mradi unawezekana ili tuanze kwa kuangalia yale maeneo ambayo bado yako nyuma kimaendeleo tuanze kutekeleza huu mradi wa zoning kisha tukifanikiwa ndo tunakuja huku ambako kumeshapiga hatua tuanye maboresho.
Karibuni kwa Mjadala
Kama taifa lazima tuwe na dira na Mipango. Marehemu Mzee Mkapa alitamani kwamba ikifika mwaka 2020 ba Pato la Mtanzania liwe limefika USD 3000. Niseme tu kwa wale ambao sio wafuatiliaji wa Mambo kwa sasa GDP per Capita ni USD 1080 Ila tukitumia mfumo wa PPP (Purchasing Power Parity) basi GDP Per Capita imeshafika USD 3000+
Sasa ili kuweka sawa kumbukumbu ni lazima tujue tofauti ya GDP Per capita na GDP per Capita(PPP), hili ninakupa wewe msomaji kazi ya kutafuta na kuweka katika comment hapa chini. Yatosha kusema kwamba GDP (PPP) inaonesha uhalisia wa hali ya uchumi kuliko nominal GDP ambayo ndo hasa tumeambiwa ni 1080.
Sasa nirudi kwenye hoja yangu ya msingi kuhusu ni nini tufanye ili tuweze kufikia Nominal GDP ya USD 3000 kwa mwaka 2025.
Kwanza kabisa lazima tuanze kufanya zoning (yaani tufanya mipango yetu kwa msingi wa Kikanda) ambapo tunaweza kugawa taifa letu katika kanda 7 ambapo katika kila kanda tunakuwa mega city moja -Satelite Cities Tutakazojenga
Katika kila zone ziweka kama ifuatavyo:
1. Eastern Zone tuwe na Mega City Tabora
2. Southern Highland Mega City iwe Mbeya
3. Lake Zone Mega City Iwe Mwanza
4. Northen Zone iwe Arusha
5. Eastern Zone iwe Pwani
6. Southern Zone iwe Lindi
7. Central Zone iwe Dodoma
Hizi mega cities zizungukwe na other cities ambazo zinatakiwa ziwe katika radius ya km 250-350 kila upande. Kila mega city iwe na population isiopungua watu milioni 3 na wasiozidi milioni 10.
Lite cities ziwe na agro production zone, industrial production zone, tourism zones, technology zones, educational zones(yaani maeneo yatengwe maalumu kwa ajili ya shughuli za kilima, viwanda, utalii, technology na elimu)
Haya Maeneo yawe self sustaining kwa maana ya kwamba uzalishaji wowote unaofanyika katika maeneo haya ukidhi mahitaji ya eneo husika na kuzidi.
Utengenezaji wa hizi programs utumie mfumo wa PPP (Public Private Partnership) ambapo baada ya kuundwa kwa hizi zones basi zipewe mamlaka ya kuraise funds katika bonds market local na international ili ku-finance miradi hii mikubwa.
Najua kuna ambao nitawaacha solemba kwenye huu mjadala, ila najua pia kuna ambao wataelewa. Kama wewe ni Mtunga sera hebu angalia kama huu mradi unawezekana ili tuanze kwa kuangalia yale maeneo ambayo bado yako nyuma kimaendeleo tuanze kutekeleza huu mradi wa zoning kisha tukifanikiwa ndo tunakuja huku ambako kumeshapiga hatua tuanye maboresho.
Karibuni kwa Mjadala