Recent content by sirmz ndola

  1. sirmz ndola

    Cyber security

    imeanza mwaka gani mkuu na vigezo vya kujiunga viko vipi ?
  2. sirmz ndola

    Je mwalimu anaruhusiwa kusoma degree tofauti na ualimu?

    hurusiwi labda uchezeshe ila mwajiri wako asijue
  3. sirmz ndola

    Cyber security

    kwani ipo chuo gani ???na kwa ngazi gani degree au diploma???
  4. sirmz ndola

    Ajira kwa mtu aliyesoma Bachelor of Science in Land management and Valuation iko vipi?

    uhakika haupo nikujitafutia kama unataka direct ajira somea ualimu
  5. sirmz ndola

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    kurutuuuuuuuuh mananga wa kwata madoja nitawatoa umaarufu njoeni tu
  6. sirmz ndola

    Mwenye mawasiliano ya Ikizu Secondary au Bupandagila Secondary anisaidie

    asante sana mkuu hujakosea hata kidogo mungu akubariki sana achana nao hao waelewa uchwara
  7. sirmz ndola

    Ameacha kazi, PPF vipi?

    awe na barua ya kuacha kazi tu
  8. sirmz ndola

    Mwenye mawasiliano ya Ikizu Secondary au Bupandagila Secondary anisaidie

    hizi ni shule za private mkuu nataka nimpeleke dogo advance kakoswa nafasi serikalini
  9. sirmz ndola

    Mwenye mawasiliano ya Ikizu Secondary au Bupandagila Secondary anisaidie

    Jamani wadau ambaye ana mawasiliano ya shule hizo anisaidie au kama kuna mtu yeyote anajua seminary nzuri nyeye A- Level kanda ya ziwa anisaidie mawasiliano yake
  10. sirmz ndola

    Benki ya Kilimo waliishaita interview?

    bado subiri baada ya uhakiki
Back
Top Bottom