Wana JF,
Najua kuna wanasheria na mawakili wengi humu ndani. Naomba kufahamu, iwapo mtu amepokea pesa kutoka kwa mtu usiyemfahamu na ukaitoa na kuitumia bila ridhaa yake, je sheria inasemaje kuhusu hili?
Story of change.
Hadithi yangu inaanzia asubuhi ya Mei 9, 2017 baada ya kupokea simu. Haikuwa ni namba ngeni kwenye simu yangu, alikuwa ni mtu mwenye nilikuwa nikimfahamu na ni mtu wa karibu sana. Baada ya kupokea simu, ndipo upande wa pili akaanza kuongea maneno mazito na yenye uchungu ndani...
Habari wakuu,
Naomba kuuliza. Hivi inabidi ukamilishe vitu gani haswa kwenye pikipiki yako ili usisumbuliwe sana na traffic barabarani?
Ikiwa ni binafsi tu sio ya biashara.
Aksanteni.!
Naitwa Luke Karumuna. samahan mpendwa ningependa nikushirikishe ktk fursa kubwa sana kutoka ORIFLAME,.Ni fursa ya kipekee itakayokufanya uzid kunawili kuwa mrembo zahd huku ukifurahia matunda ya urembo wako. ni kampuni pekee ambayo itakufanya ujitengenezee kipato kikubwa xana had dola 1000 kwa...
yaan! aliyepost mada hii!..mmmh!
Yeye kasema atawatoa kisheria na hajasema atawafungulia tu!
kuwa makin ktk usikilizaji wako na utafakuri neno kabla ya kulitoa!
na kuhusu ajira mbona amesema kuhusu ajira!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.